Sio Watanzania bara sema Watanganyika. Tanzania bara ndio nini? Hakuna nchi katika historia na kijiografia iliwahi kuwepo kwa jina la Tanzania bara.
nimependa level yako ya uzalendo....
Sio Watanzania bara sema Watanganyika. Tanzania bara ndio nini? Hakuna nchi katika historia na kijiografia iliwahi kuwepo kwa jina la Tanzania bara.
Chris Lukosi,Mkuu, mimi kwa kifupi nauchukia huu muungano na huwa nasema wazi siku zote bila kuficha
Zanzibar ni kupe asie na shukurani
Wananisaidia nini???Chris Lukosi,
Wewe wanaume wakiongea nyamaza kimya!!, wazanzibari wanakusaidia hapo London unawaita kupe, wwe beba boxes kisha funga mdomo wako huo.
kahtaan, gombesugu, mfumo
Wananisaidia nini???
Ile niliyokuambia pale thatch house?Na ardhi uliopewa kinyemela kwa kuhonga rushwa utanyanganywa maana umevenja Katiba ya nchi
Bimani mwenyewe aliyetoa press conference huyo hapo kwenye picha. Mwangalie kwa makini halafu tuambie umegundua nini. Kazi kwako.
View attachment 143741
Chris Lukosi,
Wewe wanaume wakiongea nyamaza kimya!!, wazanzibari wanakusaidia hapo London unawaita kupe, wwe beba boxes kisha funga mdomo wako huo.
kahtaan, gombesugu, mfumo
Sis tunasema mambo ambayo wenyewe wanasema hadharani wala sio mafichoni unawatetea nini wakati inajulikana ndio tunaowasaidia sisi tunapata nini kutoka kwenu zaidi ya lawama zisizo na maana
Hii picha inatoa majibu mengi sana hayo aliyosema ni sehemu ya mambo mengi yaliyojaza moyo kuhusu tanganyika
Wananisaidia nini???
Wazanzibar wanatamani mambo ya zanzibar yawe ya kwao, wakati wanataka ya tanganyika iwe ya wote! Huu muungano ni wa kihuni kwelikweli!