Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Kila siku naziona ACT Wazalendo, CCM na CHADEMA zinafanya shughuli za kisiasa. Ila CUF kimya toka mwendazake aende.
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?
Ndio tuseme Prof Lipumba amefanikiwa kuiua CUF kama alivyotumwa?