MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Upumbavu umekujaa! Huna lolote! Mjinga sana wewe! Nakuachia laana mpaka kizazi chako cha tatu!Kweli kabisa hawa wanasiasa kampeni zao ni maigizo tupu, kama yule mwingine anayekusanya watu pale Jangwani na
kuwaambia atamtoa jela babu Seya, Atatoa elimu bure. Hawa wanasiasa wanatuchezea akili zetu kweli.
[video]https://youtu.be/OLyzuF250io[/video]