CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

Igizo lingine tena.Lakini sio mbaya, acha vijana nao waingize siku bwana.
 
Hapo hakuna mwenye kura hata mmoja. Sijui kwanini ivo. Picha ya kwanza ni vijana wa kihuni tu na nina hofu kama ni kadi za ukweli hizo
Unstoppable pain from CCM.
 
Dr Slaa hajarudisha kadi, wao wamerudisha kwa maana wanauchungu kuliko dr Slaa.
Dr. Slaa is no longer a member of Chadema, in contrast, those guys a showing the world that CCM is number one.
 
hahahahhahaha unajua ccm unaeza ukaichukia adi ukawa unacheka yani..wana vituko hawa watawala ss hicho nn hapo ahhahahha wengine kuziba nyuso watu wenyewe wanaonekana wamekurupushwa nyuso zao zinaongea kila kitu ze comedy show
 
hahahahhahaha unajua ccm unaeza ukaichukia adi ukawa unacheka yani..wana vituko hawa watawala ss hicho nn hapo ahhahahha wengine kuziba nyuso watu wenyewe wanaonekana wamekurupushwa nyuso zao zinaongea kila kitu ze comedy show
No, you are once again wrong, consequently, you don't even know why you are a blind follower of Lowassa.
 
ATA MBEYA ; WANANCHI WAKISHUSHA PICHA YA SUGU

WAKIPANDISHA YA MAGUFURI


attachment.php
 
Ebu tuone kama maisha yao yatakuwa na unafuu kuliko walivyokuwa cuf vinginevyo ni sanaa tu na maisha yatawapiga kama kawa hata ukijipendekeza
 
UKAWA huwa hawazipokei!wanawaambia watupe kwenye dustbin
 
Presida, yoko busy kunadi sera za serikali ya Chadema/UKAWA wao wako busy kufanya maigizo kwenye majukwaa. Mala wawape mateja na vijana wasiojielewa T-shirt za Chadema waandamane wakaishia kupata mkong'oto
 
Karbuni kwenye ukombozi


KWA KUWASAIDIA,, HAKUNA BINDAMU /MPIGA KURA ANAYEJITAMBUA KATIKA KUFANYA MAAMUZI & KUSIMAMIA AKILI YAKE ANAEWEZA KUYUMBISHWA NA KUWA KAMA BENDERA FUATA UPEPO KWA SABABU YA MANENO YA MWANASIASA YEYOTE DUNIUANI.......Zaidi ya hapo ni commedy
 
Back
Top Bottom