CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

11218624_875441515902799_469992946370659694_n.jpg

 
Duh kwa picha mnamuona huyo anajificha na kitambaa chekundu asionekane? Wengine nao wameshusha kofia zao aisee ..enyi Ccm ni nani aliowaloga? Mnashupaza shingo namna hiyo itavunjia muda si mrefu
 
Ni wachache ila wamehama na sasa akili zao ni Timamu na idadi ya ukawa ina punguwa kila kukicha. Yaani mwaka huu mnawapa ccm nguvu zaidi na ushindi watakao pata ccm uta washangaza na ndio utakuwa mwisho wa ukawa wenu
 
Back
Top Bottom