kisungu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 788
- 266
Karbuni kwenye ukombozi
Ukombozi???
Karbuni kwenye ukombozi
Mnajitekenya na kucheka wenyewe.Yaani mnajipa matumaini tu.
mnaigiza kuchukua kadi za CUF na kuwapa vijana eti wazirudishe.
Mmeishiwa sera mwaka huu. WATU WOTE MAMBO UKAWA NDIO SALAMU YA TANZANIA.
TUNATAKA MABADILIKO.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mamluki tu hao
Wanaccm mmewapa kadi za CUF halafu mnasema ni wana cuf wanajiunga na CCM kenge nyie
Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
ni kweli wanafanya maigizo ya ya vijana kurudisha kadi za KAFU kama mlivyofanya maigizo arusha ya kuwaweka vijana na kuwapa kadi feki za sisiemu na kuwafanya kuwa wanarudisha na kuchukua za chadamu.
Maradhi pelekeni muhimbili, ikulu anaingia mwenye afya zake.
CCM wanapenda kampeni za maigizo.
Hapo akimaliza kupokea hizi kadi feki anapanda shilole kukata viuno. Akimaliza magufuli anaimba alimselema na kufunga mkutano.
Vijana CCM? Au sijakusoma vizuri!Muona njia
vijana ccm ; azee ukawa
Endelea kujipa moyo huku CCM ikipakua makada wenu kwa malundoHizo kadi ukiziangalia karibu zote zinaonekana ni kadi mpya. Swali je zimekatwa siku ya karibuni kwa ajili ya kuzirudisha au hawa ndugu walikata siku nyingi lakini wanautunzaji wa kadi unaofanana. Hapa hawa wamepewa leo ili waonekane kama ndio wanazirudisha kwaiyo hizo ni kadi feki.
CCM wanapenda kampeni za maigizo.
Hapo akimaliza kupokea hizi kadi feki anapanda shilole kukata viuno. Akimaliza magufuli anaimba alimselema na kufunga mkutano.