PJ
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 297
- 32
kama yepi ?
kukubali vyama viwili kuunda umoja na kuviona vyengine kwa kua na uwakilishi mdogo si wapinzani ?
chadema mtulie muache makeke
ngoma yataka matao
Huwezi kuunda umoja na watu kama mrema ambaye ametangaza hadharani kumuunga mkono Kikwete na ccm hata katika kampeni za uchaguzi. Hata Mwenyekiti wa NCCR tangu mwanzo ni mpinzani wa chadema hadharani badala ya kuwa mpinzani wa ccm
Hivyo huwezi kuungana na watu ambao ni wapinzani wako