Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 320
.....!!!!!!!!!!!!????????????? tuna maswali mengi ya kujiuliza kuhusu CUF, moja kubwa, si wapinzani kweli kweli, CCM B, hii ipo waziii,
they are not serious with opposition, BUT, BUT, BUT, let us allow Mbowe & CDM wawaruhusu waingie upinzani, no problem, wakubali ombi la Rashid
we will monitor them with magnified lenses Microscope, wakiwa hawaeleweki, as usual makamanda wa CDM FUKUZA CUF no discussions
Hivi kanuni zinasemaje kuhusu kuwafukuza wakionekana wanaasi, maana kisije kikawa kitanzi kwa CDM kwamba labda mpaka maamuzi ya Spika. Spika akikataa kwamba hakuna kufukuzwa basi wanaweza kubaki milele. Nakumbuka incidence ya Cheyo mpaka Speaker Sita alivyoitolea ufafanuzi kuwa jamaa amekyuka ndio alitemwa kama waziri kivuri baada ya kuunga bajeti ya ccm. Lakini pia ilifuatana na hekima na maono ya Speaker Sita. Hebu kumbuka mwaka 2005 Mrema alitangaza kumtema uanachama wa TLP bwana Ngawaiya, na kwa kanuni ilipaswa atemwe na Ubunge pia, lakini Speaker wa wakati huo, mzee Msekwa alikataa na akipangana na kanuni za bunge na Ngawaiya aliendelea kuwa Mbunge. Sasa hilo pia la kuliangalia kwa watalaam wa Sheria na huyu Speaker kuwadi wa Mafisadi Anna Makinda, kinaweza kuwa kitanzi kwa Chadema. Kuwa katika Safe side ni kuwakataa kabisa