Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Mbunge wa Viti Maalumu(CUF), Mkiwa Kimwaga amemwanika mbunge wa jimbo la Karatu, Dr Slaa kuhusu unafiki wake. Mheshimiwa Kimwaga aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara wa chama chake juzi kwenye operesheni zinduka katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa furahisha katika wilaya ya Nyamagana.
Akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza mbunge huyo amesema kwamba Dr Slaa ni mtu anayeongoza kwa unafiki kwa kuwasema mafisadi wa CCM wakati ambapo yeye mwenyewe ameoa mke ambaye ni diwani wa CCM.
Kutokana na hali hiyo mbunge huyo aliwataka wananchi kuzinduka na kukichagua chama cha CUF kwa kuwa kina viongozi ambao hawana doa lolote la ufisadi.
Katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa siasa wa chama hicho, Mbarara Maharagande amewataka watanzania kuipuuza Operesheni Sangara inayofanywa na CHADEMA kwa kuwa haina maslahi yoyote kwa taifa.
"Hao CHADEMA wanapita na kuwaita wananchi kuwa ni Sangara. Wana dharau sana na hawana maslahi yoyote kwenu hivyo ni vyema mkawapuuza", alisema Maharagande.
Hata hivyo mkutano huo ulikaribia kuingia dosari baada ya kikundi kimoja cha wahuni kilichokuwa kinahudhuria mkutano huo kuanza kuzomea kila viongozi hao wa CUF walipokuwa wakianika ukweli kuhusu Dr Slaa.
Wakizungumzia hali hiyo, viongozi hao wa CUF walisema kuwa chama cha CHADEMA ni chama cha wahuni ambao hawataki kusikiliza sera za vyama vingine badala yake wapita wakivuruga mikutano ya vyama vingine. Viongozi hao walilitaka jeshi la polisi kuimarisha ulinzi na kupiga marufuku wavamimizi wa mikutano ya vyama vingine ili kila chama kipate fursa ya kueneza sera zake.
Mikutano ya Operesheni Zinduka inaendelea katika mkoa wa Mwanza ambapo kwa sasa inaelekea katika wilaya ya Ilemela.
.....ndiyohiyo
hawa cuf nafikiri wanazidi kujichimbia kaburi. wamekosa cha kuongea. hata kama dr slaa ni mnafiki, wabunge wao wapo zaidi ya 30 bungeni wamefanya nini. ikitaka kufahamu watumwa wa ccm, tafadhari fuatilia cuf wanasema nini.
waacheni wafu wawazike wafu wenzao, CUF ni uozo mtupu, wabunge zaidi ya 30 sioni mchango wao vidi ya vita vya ufisadi, kama mpinzani hapambani na ufisadi naye ni fisadi
Mbunge wa Viti Maalumu(CUF), Mkiwa Kimwaga amemwanika mbunge wa jimbo la Karatu, Dr Slaa kuhusu unafiki wake. Mheshimiwa Kimwaga aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara wa chama chake juzi kwenye operesheni zinduka katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa furahisha katika wilaya ya Nyamagana.
Akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza mbunge huyo amesema kwamba Dr Slaa ni mtu anayeongoza kwa unafiki kwa kuwasema mafisadi wa CCM wakati ambapo yeye mwenyewe ameoa mke ambaye ni diwani wa CCM.
Kutokana na hali hiyo mbunge huyo aliwataka wananchi kuzinduka na kukichagua chama cha CUF kwa kuwa kina viongozi ambao hawana doa lolote la ufisadi.
Katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa siasa wa chama hicho, Mbarara Maharagande amewataka watanzania kuipuuza Operesheni Sangara inayofanywa na CHADEMA kwa kuwa haina maslahi yoyote kwa taifa.
"Hao CHADEMA wanapita na kuwaita wananchi kuwa ni Sangara. Wana dharau sana na hawana maslahi yoyote kwenu hivyo ni vyema mkawapuuza", alisema Maharagande.
Hata hivyo mkutano huo ulikaribia kuingia dosari baada ya kikundi kimoja cha wahuni kilichokuwa kinahudhuria mkutano huo kuanza kuzomea kila viongozi hao wa CUF walipokuwa wakianika ukweli kuhusu Dr Slaa.
Wakizungumzia hali hiyo, viongozi hao wa CUF walisema kuwa chama cha CHADEMA ni chama cha wahuni ambao hawataki kusikiliza sera za vyama vingine badala yake wapita wakivuruga mikutano ya vyama vingine. Viongozi hao walilitaka jeshi la polisi kuimarisha ulinzi na kupiga marufuku wavamimizi wa mikutano ya vyama vingine ili kila chama kipate fursa ya kueneza sera zake.
Mikutano ya Operesheni Zinduka inaendelea katika mkoa wa Mwanza ambapo kwa sasa inaelekea katika wilaya ya Ilemela.
.....ndiyohiyo
Mbunge wa Viti Maalumu(CUF), Mkiwa Kimwaga amemwanika mbunge wa jimbo la Karatu, Dr Slaa kuhusu unafiki wake. Mheshimiwa Kimwaga aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara wa chama chake juzi kwenye operesheni zinduka katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa furahisha katika wilaya ya Nyamagana.
Akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza mbunge huyo amesema kwamba Dr Slaa ni mtu anayeongoza kwa unafiki kwa kuwasema mafisadi wa CCM wakati ambapo yeye mwenyewe ameoa mke ambaye ni diwani wa CCM.
hawa cuf nafikiri wanazidi kujichimbia kaburi. wamekosa cha kuongea. hata kama dr slaa ni mnafiki, wabunge wao wapo zaidi ya 30 bungeni wamefanya nini. ikitaka kufahamu watumwa wa ccm, tafadhari fuatilia cuf wanasema nini.
Niliwahi kusema hili la mke kuwa CCM au mume kuwa CUF au vinginevyo,hii inamaana wote wawili hawafai ,mke na mumewe watafute biashara wafanye ,haiwezekani haiwezekani ,maana hata kuelekea haielekei isipokuwa mnailazimisha tu ,na hili sio kwa walio nje ya Chadema hata wale waliokuwa ndani ya Chadema wanaliona ni jambo la ajabu kabisa ,ikiwa mke au mume ameshindwa kumshawishi mwenziwe kwa sera za Chama chake itawezekanaje kuwashawishi wengine ,ni lazima hapo pana walakin.
DR Slaa jitahidi sana kumshawishi mama watoto ajiunge na Chadema ,maana kama nikipiga picha unapata Raisi ni Chadema na First lady ni CCM ,yaani mmoja ataendeleza sera za mafisadiCCM na mwengine za Chadema.
DR Slaa jitahidi sana kumshawishi mama watoto ajiunge na Chadema ,maana kama nikipiga picha unapata Raisi ni Chadema na First lady ni CCM ,yaani mmoja ataendeleza sera za mafisadiCCM na mwengine za Chadema.
KAFU wana misimamo na miongozo ya Kiislam .Ukitaka kumuoa Muislam unasikia wanalia lazima ubadili dini .Lakini unajiuliza nyumbani kwa Mzee Hamidu ume enda kutafuta dini ama binti yake awe mkeo ?....