#COVID19 Cuba imeonesha njia. Afrika tuone aibu

Cuba njaa sana daktari2 analipwa dola 100kwa mwezi
Kuna kitu tunastahili kujua ,Serekali ya Cuba na chama chao vilianzishwa na watu ambao walikua na maono na uchungu wa nchi yao. Kumbuka barua ambazo alikua anamwandikia mama yake alipotembelea Southern America kuhusu Maisha ya watu na alivyojitolea kuwa anawatibu for free. Castro alikua na maono kuhusu Maisha gani anataka kuwapa ndugu zake. Hawakua motivated na hela wala utajiri lakin utajiri wa nchi kwa ujumla. Ndio maana walipokamata nchi waliweka educational policies kwamba mwananchi anahitaji wa kumfundisha kulima vizuri, Dkt wa kumtibu akiumwa na mwalimu wa kufundisha watoto wake. Haihitaji sana mwanasheria , social work au mtu aliesoma political science... Ndio maana wakaweka msisitizo kwenye elimu ya science. Lakin kila kitu huanzia jutaChe Guevara alikua anafanyaje kazi au Castro mwenyewe?? Ni viongozi wangapi Africa wanaweza kufanya kazi hivo. Wanaoweza wananyimwa nafasi au wanabezwa au wanauawa. In 2007 nilifanikiwa kukaa siku kama 7 na jamaa wa Trinidad and Tobago, alikaa Cuba anasema ndio nchi aliona haikua na wezi vibaka au makahaba, na kila mfanyakazi alipata his fair share na kila mtu anafanya kazi kwa ajili ya taifa na si kwa ajali yake maana nahitaji yake mengine taifa litamfanyia. So kama viongozi wanataka utajiri binafsi kuliko utajiri wa taifa, hakuna utaratibu wa taifa kujali watu wake hata wale waliojitolea Maisha kulitetea wakati wa nahitaji msaada...huo moyo wa ubunifu na kuumiza vichwa utatoka wapi?? Hii ni Africa kwa ujumla.
Kuhusu malipo madogo, standard of life kwao ziko hivo hiyo unayoita ndogo kwao nyingi, kumbuka education Cuba is free kuanzia kindergarten to PhD. So kuna reforms nyingi zinahitajika mpaka Africa tufike hapo
 
Kuna kitu tunastahili kujua ,Serekali ya Cuba na chama chao vilianzishwa na watu ambao walikua na maono na uchungu wa nchi yao. Kumbuka barua ambazo alikua anamwandikia mama yake alipotembelea Southern America kuhusu Maisha ya watu na alivyojitolea kuwa anawatibu for free. Castro alikua na maono kuhusu Maisha gani anataka kuwapa ndugu zake. Hawakua motivated na hela wala utajiri lakin utajiri wa nchi kwa ujumla. Ndio maana walipokamata nchi waliweka educational policies kwamba mwananchi anahitaji wa kumfundisha kulima vizuri, Dkt wa kumtibu akiumwa na mwalimu wa kufundisha watoto wake. Haihitaji sana mwanasheria , social work au mtu aliesoma political science... Ndio maana wakaweka msisitizo kwenye elimu ya science. Lakin kila kitu huanzia jutaChe Guevara alikua anafanyaje kazi au Castro mwenyewe?? Ni viongozi wangapi Africa wanaweza kufanya kazi hivo. Wanaoweza wananyimwa nafasi au wanabezwa au wanauawa. In 2007 nilifanikiwa kukaa siku kama 7 na jamaa wa Trinidad and Tobago, alikaa Cuba anasema ndio nchi aliona haikua na wezi vibaka au makahaba, na kila mfanyakazi alipata his fair share na kila mtu anafanya kazi kwa ajili ya taifa na si kwa ajali yake maana nahitaji yake mengine taifa litamfanyia. So kama viongozi wanataka utajiri binafsi kuliko utajiri wa taifa, hakuna utaratibu wa taifa kujali watu wake hata wale waliojitolea Maisha kulitetea wakati wa nahitaji msaada...huo moyo wa ubunifu na kuumiza vichwa utatoka wapi?? Hii ni Africa kwa ujumla.
Kuhusu malipo madogo, standard of life kwao ziko hivo hiyo unayoita ndogo kwao nyingi, kumbuka education Cuba is free kuanzia kindergarten to PhD. So kuna reforms nyingi zinahitajika mpaka Africa tufike hapo
Ndio maana msukuma huwa anawatukana maana wanakua hawana tofauti na mtu ambae hajasoma Kuna lingine linatamba na digrii Tisa lakini ukimuuliza hizo digrii zimeleta nini kipya hakuna jibu zaidi ya kufisadi mda wa kazi na kulipwa pesa za bure tu ndio maana hoja ya msukuma yeye anaona mwenye pesa anaakili kuliko mwenye digrii hizi ambazo hazina jipya
 
Wataalamu gani tunao masikini wa akili hao ambao wanakariri magonjwa

Yaani ukianza kujieleza tu anakuambia ni UTI hiyo unaanza dozi kumbe Malaria
Sasa si angesema kapime

Jamani Cuba hata walikuwa wanamuogopa
Castro walishindwa kumuuwa kwa majaribio zaidi ya 200

Walikuwa wana madaktari miaka nenda rudi na mpaka sasa ni top kwa matibabu ya moyo
Wako vizuri sana yaani watake radhi kwa kuwafananisha na wa kwetu

Kama uhusiano wetu ungekuwa bado kama ule wa zamani wa kutuma watu huko mbona tungekuwa na wataalamu wa Kimataifa

Tatizo letu badala ya kuomba Ndoano sisi tunaomba Samaki na ndio maana mpaka viongozi wetu walivyo hamnazo wanajisifia kukopa hela ambazo bado wanasema kuleni kidogo sio mpaka mvimbewe
 
Cuba kwenye tiba na wataalamu wa tiba wako vizuri sana hata hayati.Fidel castro alikunauzia wamarekani wataalam wa tiba toka cuba
 
Ile juisi ya Madagascar bado inafanyiwa tafiti?? Au Kabudi na wenzake waliigigida yote??
 
Angalia nchi hii kipaumbele kimewekwa kwenye kitu gani na aina ya viongozi ni wapi, ndo urudi kujilinganisha na Cuba......utaelewa kwamba vipaumbele muhimu nchi hii ni siasa za majitaka, fitina, uchawi, majungu, upigaji aka. kujipimia kwenye urefu wa kamba, IQ ndogo kwa viongozi ambao wanaamini katika ushirikina na maujinga ujinga mengine.....
 
Wasomi wetu si mmoja ni yule Profesa aliyeagizwa na wanasiasa atangaze NIMRCafe na madudu mengine, bila aibu akatangaza .

Hivi wasomi wetu si yule Profesa aliyetumwa na wanasiasa akanywe maji ya mchaichai mbele ya Camera

Wasomi wetu ni tatizo kubwa sana.

JokaKuu
 
Tanzania ndio kwanza tunakopa ili tujenge vyoo embu usitusababishie vichwa kujam bure.
 
Wewe ndio huna akili..
Kuna watu kama-bencarsaon wana akili.
Hebu tujilinganishe nchi zote za afrika zilizopata Uhuru miaka ya 1950 hadi 1960 na zile za mabara mengine kama Asia, amerika ya kusini na kwingine je tunalingana?
Kwanini sisi tupo nyuma Sana wenzetu Kama Korea ya kusini, India, Singapore na wengine wapo mbali kiteknolojia? Angalau sisi nchi za afrika tungekuwa na nchi angalau tatu za mfano wa Korea ya kusini hapo sawa sasa hakuna kweli vichwa vyetu vinafanya kazi?
 
Hebu tujilinganishe nchi zote za afrika zilizopata Uhuru miaka ya 1950 hadi 1960 na zile za mabara mengine kama Asia, amerika ya kusini na kwingine je tunalingana?
Kwanini sisi tupo nyuma Sana wenzetu Kama Korea ya kusini, India, Singapore na wengine wapo mbali kiteknolojia? Angalau sisi nchi za afrika tungekuwa na nchi angalau tatu za mfano wa Korea ya kusini hapo sawa sasa hakuna kweli vichwa vyetu vinafanya kazi?
Hapo unaongelea siasa sio akili.
Hata huko uikotaja umekuwa seletive..
Kuna latini america, kuna mataifa mengi ya asia kama sisi.
 
Back
Top Bottom