sijui kama huhitaji maombii...na watu kama nyie maendeleo 0
Jamani kwa nini wasiiweke hewani hii CHADEMA TV..(CTV)..??? Mimi niko Tayari Kuichangia na nadhani kuna wadau wengi wataunga mkono . Tumechoka na uchakachuaji wa TBCCM. Wadau wa CTV tupeni mikakati yenu jamani.
<br />sijui kama huhitaji maombii...na watu kama nyie maendeleo 0
<br />
<br />
binafsi nakukubali mkuu ila watizame wakikuzingua hapa ni nyumbani kwako mkuu.
Jamani haya mambo mageni kwangu..Naweza jua Chanzo cha uhakika wa TV...? nipo nyuma kidooogo..
<br />Mimi tachangia Dola 30,000 lakini kwanza lazima nione kituo kwanza, na sijui mtakuwa mnarushia wapi matangazo yenu? Moshi au Kilimanjaro
Haya wewe niambie Ndesamburo ni Mbunge wa wa wapi?we kweli jiografia ulifeli na nina mashaka na elimu ya
ko cyo ya kuchakachua kweli? Moshi ni wapi na kilimanjaro ni wapi? We hujanunua cheti kweli...dola elf 30 utoe wapi labda kama we ni magamba.
Pamoja na Dube, sijui kwa nini hawa jamaa wanapenda sana Regge!Siku nzima ni nyimbo za Bob marley tu.
<br />Haya wewe niambie Ndesamburo ni Mbunge wa wa wapi?
JF, sio sehemu ya porojo jibu swali Ndensamburo ni mbunge wapi Moshi, au Kilimanjaro?umekoselewa nini na unaongea nini... Zero kabisa..
Si unajua tena stimu za msuba.Pamoja na Dube, sijui kwa nini hawa jamaa wanapenda sana Regge!
Ha! Ha! Ha! Ha! Marijuana (also called hashish, cannabis, pot)Si unajua tena stimu za msuba.
Tunasubiria watuletee njia mbalimbali za kutoa michango ili tuwe na chombo chetu huru.