At least you can console yourself on the fact that what people are so seriously discussing is actually beneficial to you and your children and your friends and your kins as well. the issue is not that something is getting old or is not, the issue is not one of fashion, it is one of doing the right thing for your country. so far we have not reached a consensus. how can we? if there are people like you out there who do not think that if a group of our own leaders entrusted with running the country can betray that trust, is wrong and should be addressed.
the Dowans issue is not a small one. it is not about what amount is involved, it is an issue of principle. if a leader can cheat on Tshs. 10 and get away with it, why not cheat on Tshs 10,000,000 tomorrow, and even more and more and more...? if greed is involved, you can be sure that the amount will get bigger everyday. we do not want to wait for that in order to solve the problem. by the way, are you aware just how much we are talking about? and Dowans is not the only issue here. the issue is we have unprincipled leaders and as many Tanzanians as possible must know about this, and that is one reason we can never get tired of shouting about these things
You have fallen for the trick. that is exactly the way you are supposed to think, and the smart guys who are pushing this game are nodding their heads and congratulating themselves. trace where the money comes from to CTI, and trace again where the proceeds go. that will lead you to your culprits
Habari za kuaminika toka ndani kabisa (ka nzi).........................
The notion that we have been discussing about Dowans since 2006 bila suluhu inaonesha tusivyokuwa serious. The society, her people, and her institutions have failed. It sounds like Dowans is the only problem with this country, and that shows our smallness. Sometimes, u get a picture that if Rostam Aziz die today then Tanzania will be the highest economy in the world. That proves our smallness. And we blame opposition for that. Chadema thinks the path to maendeleo is getting rid of Rostam and that narrows the debate humu ndani on other means to alleviate poverty.
It sounds like Dowans is the only problem with this country, and that shows our smallness. Sometimes, u get a picture that if Rostam Aziz die today then Tanzania will be the highest economy in the world. That proves our smallness. And we blame opposition for that. Chadema thinks the path to maendeleo is getting rid of Rostam and that narrows the debate humu ndani on other means to alleviate poverty.
Huku ni kuleta propaganda kwenye masuala ya maendeleo ya nchi. Ni upumbavu kila wakati kufikiria kwamba kila uamuzi unalenga uchaguzi wa mwaka 2015. Inaonyesha kuna watu wanaweweseka na uchaguzi wa mwaka 2015 na kudhani kwamba kila mtu akili yake ni huko huko. Ni upumbavu kwa sababu haiwezekani kila mradi wa maendeleo unaofikiriwa basi kuna watu wanataka ulaji. Kuna watu tunaendeshwa na fikra za kutenda na kupata matokeo ya kutenda. Haiwezekani tuwe watu wa kuzungumza tu kila siku.Mwanakijiji kwa ufupi ni kuwa nguvu za Rostam na EL, Tanzania ni ABSOLUTE. Yaani mkwere nchi si yeye anayeongoza.
Bunge lijalo kwa nguvu ya Rostam na EL, PPRA (2011) itapitishwa ili tu mitambo ya dowans iweze kununulika.
Kwa kupitia Zitto, January na Dau wa NSSF, Kiwira italazimishwa kupelekwa NSSF ili ulaji mkubwa wa at least 100billion uwepo ambao utawezesha rais wa 2015 kutoka miongoni mwa chaguo la EL na RA.
NSSF wanangangania kuown na kugenerate umeme through Kiwira wakidai wana strategic investor, lakini inajulikana Caspian na sub contractors wao ndio wanataka kuchimba coal na kudeal na masuala yote ya uzalishaji.
Zitto ni kama amepagawa sasa hivi yaani kila kona akikutana na mtu anatafuta Support ili watu waisupport NSSF kuown na kugenerate umeme Kiwira.
Suali la ajabu ambao wataalamu wanashangaa ni NSSF na TAnesco yote ni mashirika ya umma, sasa kwa vile NSSF wanazo hela kwa nini wasiikopeshe Tanesco hizo $400 million with GOVT Guarantee ili tanesco izalishe huo umeme ambao ndio MANDATE YAKE??
Jibu ni kuwa NSSF through DAU ni kama agent wa EL na RA, kwa hiyo pesa ziko guaranteed kuliwa through NSSF than kuliko Tanesco.
Fuatilieni vioja vya Zitto na January in the COMING DAYS mtaelewa zaidi.
May God Bless Tanzania.
You still dont get it dude. Who is Rostam after all and what hole did he crawl out of ? Our war is not with Rostam but with the system, the system that lets filthy rats like Rostam roam our streets with impunity plundering everything that crosses their path. Our war is with sycophants and traitors the type of Selemani and Majimshindo, who would rather look the other way as their masters tear and destroy the fabrics that hold us together as one country. The bottom line is that as long as Tanzania remains a haven for thieves, drug traffickers, con men and what have you, we are dead though we continue to live !
Kwanza unaelewa nini kuhusu IPP in Tanzania au Independent Power Producer ? Kisheria NSSF kama IPTL na Songas sheria inawaruhusi ku zalisha umeme ila TANESCO bado wana monopoly ya distribution
inanekana umeamua ku bwa bwaja bila kuleta ushahidi wowote ule waka kufanya utafiti wowote ule
wapi Capian wamesign mkataba na NSSF au Tanesco?
You cant even think!?
Huku ni kuleta propaganda kwenye masuala ya maendeleo ya nchi. Ni upumbavu kila wakati kufikiria kwamba kila uamuzi unalenga uchaguzi wa mwaka 2015. Inaonyesha kuna watu wanaweweseka na uchaguzi wa mwaka 2015 na kudhani kwamba kila mtu akili yake ni huko huko. Ni upumbavu kwa sababu haiwezekani kila mradi wa maendeleo unaofikiriwa basi kuna watu wanataka ulaji. Kuna watu tunaendeshwa na fikra za kutenda na kupata matokeo ya kutenda. Haiwezekani tuwe watu wa kuzungumza tu kila siku.
I have no connection whatsover with RA na EL kwenye Urais au mpango wowote wa kisiasa. I say this loud and clear. I am not supporting anybody. I, myself, am ambitious. Siwezi kuingia kwenye miradi ya watu kutaka Urais kwani wote mnaowataja na kuwaunga mkono au kuwapinga naona hawana uwezo wa kuongoza Taifa hili.
Usinifanyie propaganda za kijinga. Ninafanya kazi yangu kwa mujibu wa kanuni za Bunge. Sasa kama unataka niwe mwenyekiti posho, kukaa bila kutoa masuluhisho ya maendeleo ya nchi, go and hang yourself. I am not like that. I am action oriented. Call me arrogant or whatever the names, i am different. Mark my words! Acha propaganda kwenye maendeleo ya nchi.
NSSF
Sitafuti support ya mtu yeyote yule. Hoja za NSSF kukabidhiwa Kiwira nimeziweka wazi. Wala sijajificha kama wewe unavyotumia pen name hapa kwa unafiki wako. NSSF wameikopesha sana TANESCO. NSSF wana haki ya kuwekeza kwenye jambo lolote litakaloleta faida kwa mfuko. Hoja zako za kitoto eti why not TANESCO. Mbona Ngaka na Mchuchuma watakaozalisha umeme ni NDC? Nao tuwatoe tuwape TANESCO? Hayo ni mawazo mgando. It is stupidity to stay out there and wait for people to come with solutions and start criticising the solutions. It is even more stupid to link every initiative in Tanzania with Rostam Aziz! Who is Rostam Aziz anyway to be linked to everything. This is cheap propaganda. Yeye amekuwa Pweza anajitandaza kila mahala?
Tuogope kufanya maamuzi kwa kuwa atahusishwa Rostam Aziz? Acha upuuzi.
Kwamba Caspian watapewa tender ya kuchimba makaa. Huu ni upuuzi tu ili kujenga chuki na fikra hasi za initiative ya kuhakikisha Kiwira inafufuliwa. I dont care nani atachimba makaa pale. What i care ni kuona Kiwira inafufuka, makaa yanachimbwa na umeme unazalishwa. Hizi mbinu za kuhusisha makampuni yanayomilikiwa na watu wenye mawaa ya ufisadi na miradi ili ikwame ni mbinu za kitoto, za kijinga na za kipuuzi.
Hizi ni propaganda za kishenzi kabisa!
On my agenda - moja mchuchuma na Liganga miradi ianze. Mbili, Ngaka coal fields mradi uanze. Tatu, Kiwira ifufuliwe. Nitahakikisha kwa kupitia kamati yangu tunawezesha NDC na NSSF wanatekeleza miradi hii na kuliondoa taifa kwenye tatizo la umeme katika muda wa kati.
I dont care about the next election. I do about the next generation.
Endelea kumwaga sumu zako. Sibabaiki. I do the right thing and inshaallaah i will succeed for the benefit of my country!
Habari za kuaminika toka ndani kabisa (ka nzi) zinataarifu kuwa Shirikisho la Viwanda Tanzania linampango wa kuwashaa mitambo ya Dowans baada ya kukodi mitambo hiyo toka kwa wamiliki.
Mpango huu ambao bado unapingwa na TANESCO unaelekea kufikia hatua za mwisho baada ya vikao kufanyika leo ambapo shinikizo kama lililokuwepo wakati wa kuingia Richmond linaongezeka hatimaye TANESCO wakubali kuingia mkataba na CTI Confederation of Tanzania Industries.
Kwa mujibu wa chanzo hicho CTI ambayo imekuwa kwenye ukasi haijaeleweka imepata wapi fedha za kukodisha mitambo hiyo na kwanini kusita kwa TANESCO kuingia kwenye mkataba mwingine hakuchukuliwa maanani. Shirika la TANESCO linadai kuwa hali ya dharura nchini imeanza kutengemaa taratibu na ya kuwa tayari IPTL na hata Kidatu wameanza kuzalisha umeme zaidi na kufidia pengo.
Soma zaidi kwenye saiti dada ya JF(Fikra Pevu) - CTI kukodisha Dowans; Kuiuzia Tanesco umeme? | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
Mh....... Taff... Umeshawahi kuona mchezo wa karata tatu?Nimekumbuka hoja ya PM kuwa sio lazima Serikali inunue mitambo ya DOWANS bali hata watu ama kampuni binafsi zinaweza kununua mitambo hiyo pia..., inawezekana alikuwa anaweka mazingira kwenye mkondo tarajiwa!!!!
WAKATI Serikali ikiwa mbioni kurekebisha Sheria ya Ununuzi wa Umma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutaka kuinunua mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans, kuna taarifa zinazodai kuwa tayari mitambo hiyo imeshauzwa.
Habari zilizolifikia gazeti hili jana zinaeleza kuwa mitambo hiyo imeuzwa nje ya nchi na kinachosubiriwa sasa ni kumalizika kwa taratibu za kimahakama katika kesi ya Dowans dhidi ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) iliyoko Mahakama Kuu ya Tanzania.
Kwa mujibu wa habari hizo, tayari mnunuzi wa mitambo hiyo kutoka Cyprus ameilipa Dowans, lakini ameipa masharti kampuni hiyo kabla ya kuchukua fedha hizo.Katika masharti hayo, kampuni hiyo ya Cyprus inaitaka Dowans ihakikishe kwamba mitambo hiyo inapata
mkataba usiopungua miezi sita wa kuzalisha umeme nchini na ikishindwa, ihakikishe mitambo hiyo imepakiwa ndani ya meli tayari kwa kusafirishwa ndipo iruhusu kuchukuliwa kwa fedha hizo.Mkurugenzi wa Fedha wa Dowans (Tanzania), Stansalus Munai alipoulizwa kuhusu taarifa hizo, hakukanusha wala kukubali: "Mitambo yetu haijakosa soko. Wanaoihitaji ni wengi na ni wanaotaka kuisafirisha nje ya nchi."
"Wanakuja wengi kila siku wa ndani na nje, mazingira ya huko nyuma yalizuia tusiuze sasa hilo linaelekea kwisha."
Alipotakiwa kueleza kama watakuwa tayari kuiuza mitambo hiyo kwa Serikali, Munai alisema hawatalazimisha biashara nayo lakini wakienda kwa nia ya kuinunua wataisikiliza na kuifikiria. Hata hivyo, hakuweka wazi bei ya mitambo hiyo."...Hatutalazimisha biashara na Serikali, hawajaja ila wakija tutawasikiliza. Tutawafikiria kama watu wengine, bei inategemea," alisema Munai bila kufafanua zaidi.
Chini ya sheria ya mwaka 2004, inayotumika sasa, Serikali hairuhusiwi kununua bidhaa au mitambo ambayo tayari imetumika.Lakini iwapo sheria hiyo ya ununuzi itarekebishwa, itatoa nafasi kwa Serikali kununua mitambo iliyokwishatumika kama hiyo ya Dowans iliyoingizwa nchini mwaka 2006 kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura baada ya kuwapo kwa ukame uliosababisha kupungua kwa kina cha maji katika mabwawa ya kuzalishia umeme nchini.
Hivi sasa taifa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa umeme na wafanyabiashara wanashinikiza mitambo ya Dowans iwashwe ili kupunguza ukubwa wa tatizo hilo.Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alilithibitishia Mwananchi kuwa Serikali imekwishalijadili kwa kina suala hilo na juzi lilianza kujadiliwa na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi.
Kamati hiyo inajadili na baadaye kupata maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kabla ya kuwasilisha bungeni muswada wa kurekebisha sheria hiyo unaotarajiwa kuwasilishwa katika Mkutano wa Tatu wa Bunge mwezi ujao.
"Jambo hili si la siri. Litajadiliwa kwa uwazi na ninyi waandishi wa habari ni miongoni mwa wadau muhimu. Kwa hivyo waambie na wenzako… Katika mjadala huo, ripoti ya Serikali itasomwa na wadau mtapewa nafasi kuijadili," alisema Mkulo.
Habari zinasema tayari mawaziri wote wamepewa dokezo kuhusu mkakati huo wa Serikali kushughulikia suala hilo la kubadili sheria ambalo Mkulo alisema ni siri."Hilo ni ‘confidential' (siri)," alisema Mkulo alipotakiwa na Mwananchi kufafanua kuhusu maelezo yaliyo katika waraka uliotumwa kwa mawaziri wote. Habari zinasema hatua ya Serikali kutaka kubadili sheria ya ununuzi wa umma, inalenga katika kuifanya iwe huru kununua kitu kilichotumika hasa taifa linapokumbwa na majanga au jambo la dharura.
Sheria ya sasa inayoizua Serikali kutonunua bidhaa au vitu vilivyotumika ilitafsiriwa katika Sheria ya ununuzi wa Benki ya Dunia (WB), inayolenga kuepuka mazingira ya ufisadi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba alisema kuwa hatua ya Serikali kutaka kurekebisha Sheria ya ununuzi ya Umma imechelewa kwani ilitakiwa iwe imeshafanyiwa marekebisho siku nyingi.
Alikumbusha kwamba miaka ya nyuma Serikali iliwahi kuiomba kamati hiyo irekebishe sheria hiyo lakini ikaonekana kwamba kilichohitajika ni marekebisho ya kanuni, jambo ambalo alisema lingeweza kufanywa na waziri husika na kutangazwa katika Gazeti la Serikali.
Alisema anaunga mkono hatua ya kurekebisha sheria hiyo akieleza kuwa ina vikwazo vingi na mchakato mrefu. Kwa mujibu wa Makamba, vikwazo na mchakato huo mara nyingi huchelewesha mahitaji husika na wakati mwingine husababisha kupanda kwa gharama za miradi, hivyo kuharibu bajeti za miradi na kuwakwaza wahisani.
"Serikali imechelewa kufanya jambo hili, inasubiri mpaka kuwe na ‘crisis' (mgogoro), lakini naunga mkono hatua hiyo kwa sababu Sheria ya ununuzi ina vikwazo vingi, mlolongo mrefu. Hii inachangia gharama za mradi kupanda hata kukwaza wafadhili," alisema Makamba.Alisema Serikali imekuwa ikikiuka sheria hiyo, akitolea mfano wa ununuzi wa ndege zilizokwishatumika.
Mwaka 2008 Kampuni ya Dowans ilitangaza zabuni ya kuuza mitambo yake ya kuzalisha umeme ikiwa ni miezi mitatu baada ya Serikali kusitisha mkataba wake na Tanesco. Baadaye ilielezwa kuwa mitambo hiyo tayari imeuzwa kwa Sh101bilioni nje ya nchi.
Dowans ilirithi mkataba wa kuiuzia umeme wa megawati 120 Tanesco kutoka kwa Kampuni ya Richmond Development LLC ambayo ilibainika kuwa ni kampuni hewa. Serikali ilifikia uamuzi wa kusitisha mkataba huo baada ya kuridhika kuwa haukuwa halali wala wenye nguvu kisheria.
Sakata la mkataba kati ya Tanesco na Richmond lilisababisha kuundwa kwa Kamati iliyokuwa chini ya uenyekiti wa Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe (CCM). Matokeo ya ripoti hiyo yalisababisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na mawaziri wengine wawili, Dk Ibrahim Msabaha na Mustafa Karamagi, kujiuzulu.
Kama ulikuwa huelewi kuwa mwanakijiji ni fataani sasa ndio utamuelewa. Ushawahi kuona kitu chochote "positive" kutoka kwake? Mimi sijawahi, majungu, fitina, kuponda hayo ndio ayajuwayo yeye. Fikra zake ni kuanzia sasa kurudi nyuma, hana uwezo wa kutazama ya kesho tu licha ya mbele zaidi. Huu ni ugonjwa unaosabishwa na wivu, chuki, roho mbaya za kurithi "genetically". Hauna dawa.
Hasad zimemjaa.
Hiyo ni analysis yangu kwa mwanakijiji kutokana na maandishi yake.
I dont care about the next election. I do about the next generation.
Endelea kumwaga sumu zako. Sibabaiki. I do the right thing and inshaallaah i will succeed for the benefit of my country!
Huku ni kuleta propaganda kwenye masuala ya maendeleo ya nchi. Ni upumbavu kila wakati kufikiria kwamba kila uamuzi unalenga uchaguzi wa mwaka 2015. Inaonyesha kuna watu wanaweweseka na uchaguzi wa mwaka 2015 na kudhani kwamba kila mtu akili yake ni huko huko. Ni upumbavu kwa sababu haiwezekani kila mradi wa maendeleo unaofikiriwa basi kuna watu wanataka ulaji. Kuna watu tunaendeshwa na fikra za kutenda na kupata matokeo ya kutenda. Haiwezekani tuwe watu wa kuzungumza tu kila siku.
I have no connection whatsover with RA na EL kwenye Urais au mpango wowote wa kisiasa. I say this loud and clear. I am not supporting anybody. I, myself, am ambitious. Siwezi kuingia kwenye miradi ya watu kutaka Urais kwani wote mnaowataja na kuwaunga mkono au kuwapinga naona hawana uwezo wa kuongoza Taifa hili.
Usinifanyie propaganda za kijinga. Ninafanya kazi yangu kwa mujibu wa kanuni za Bunge. Sasa kama unataka niwe mwenyekiti posho, kukaa bila kutoa masuluhisho ya maendeleo ya nchi, go and hang yourself. I am not like that. I am action oriented. Call me arrogant or whatever the names, i am different. Mark my words! Acha propaganda kwenye maendeleo ya nchi.
NSSF
Sitafuti support ya mtu yeyote yule. Hoja za NSSF kukabidhiwa Kiwira nimeziweka wazi. Wala sijajificha kama wewe unavyotumia pen name hapa kwa unafiki wako. NSSF wameikopesha sana TANESCO. NSSF wana haki ya kuwekeza kwenye jambo lolote litakaloleta faida kwa mfuko. Hoja zako za kitoto eti why not TANESCO. Mbona Ngaka na Mchuchuma watakaozalisha umeme ni NDC? Nao tuwatoe tuwape TANESCO? Hayo ni mawazo mgando. It is stupidity to stay out there and wait for people to come with solutions and start criticising the solutions. It is even more stupid to link every initiative in Tanzania with Rostam Aziz! Who is Rostam Aziz anyway to be linked to everything. This is cheap propaganda. Yeye amekuwa Pweza anajitandaza kila mahala?
Tuogope kufanya maamuzi kwa kuwa atahusishwa Rostam Aziz? Acha upuuzi.
Kwamba Caspian watapewa tender ya kuchimba makaa. Huu ni upuuzi tu ili kujenga chuki na fikra hasi za initiative ya kuhakikisha Kiwira inafufuliwa. I dont care nani atachimba makaa pale. What i care ni kuona Kiwira inafufuka, makaa yanachimbwa na umeme unazalishwa. Hizi mbinu za kuhusisha makampuni yanayomilikiwa na watu wenye mawaa ya ufisadi na miradi ili ikwame ni mbinu za kitoto, za kijinga na za kipuuzi.
Hizi ni propaganda za kishenzi kabisa!
On my agenda - moja mchuchuma na Liganga miradi ianze. Mbili, Ngaka coal fields mradi uanze. Tatu, Kiwira ifufuliwe. Nitahakikisha kwa kupitia kamati yangu tunawezesha NDC na NSSF wanatekeleza miradi hii na kuliondoa taifa kwenye tatizo la umeme katika muda wa kati.
I dont care about the next election. I do about the next generation.
Endelea kumwaga sumu zako. Sibabaiki. I do the right thing and inshaallaah i will succeed for the benefit of my country!