Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Habari za kuaminika toka ndani kabisa (ka nzi) zinataarifu kuwa Shirikisho la Viwanda Tanzania linampango wa kuwashaa mitambo ya Dowans baada ya kukodi mitambo hiyo toka kwa wamiliki.
Mpango huu ambao bado unapingwa na TANESCO unaelekea kufikia hatua za mwisho baada ya vikao kufanyika leo ambapo shinikizo kama lililokuwepo wakati wa kuingia Richmond linaongezeka hatimaye TANESCO wakubali kuingia mkataba na CTI Confederation of Tanzania Industries.
Kwa mujibu wa chanzo hicho CTI ambayo imekuwa kwenye ukasi haijaeleweka imepata wapi fedha za kukodisha mitambo hiyo na kwanini kusita kwa TANESCO kuingia kwenye mkataba mwingine hakuchukuliwa maanani. Shirika la TANESCO linadai kuwa hali ya dharura nchini imeanza kutengemaa taratibu na ya kuwa tayari IPTL na hata Kidatu wameanza kuzalisha umeme zaidi na kufidia pengo.
Soma zaidi kwenye saiti dada ya JF(Fikra Pevu) - CTI kukodisha Dowans; Kuiuzia Tanesco umeme? | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
Mpango huu ambao bado unapingwa na TANESCO unaelekea kufikia hatua za mwisho baada ya vikao kufanyika leo ambapo shinikizo kama lililokuwepo wakati wa kuingia Richmond linaongezeka hatimaye TANESCO wakubali kuingia mkataba na CTI Confederation of Tanzania Industries.
Kwa mujibu wa chanzo hicho CTI ambayo imekuwa kwenye ukasi haijaeleweka imepata wapi fedha za kukodisha mitambo hiyo na kwanini kusita kwa TANESCO kuingia kwenye mkataba mwingine hakuchukuliwa maanani. Shirika la TANESCO linadai kuwa hali ya dharura nchini imeanza kutengemaa taratibu na ya kuwa tayari IPTL na hata Kidatu wameanza kuzalisha umeme zaidi na kufidia pengo.
Soma zaidi kwenye saiti dada ya JF(Fikra Pevu) - CTI kukodisha Dowans; Kuiuzia Tanesco umeme? | Fikra Pevu | Kisima cha busara!