Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
The main reason as to why organisations don't want to procure incompetent suppliers is INCAPACITY.What we say is,thank god DOWANS had the capacity to generate electricity at a competitive price even though they got the deal in a weird way(thanks to TANESCO).Thats the main reason,they were able to deliver!..and our own laws let them do that!!a. Richmond iliingia kifisadi
b. Dowans ilichukua mkataba wa Richmond/Tanesco vibaya (kwa makosa)
c. Dowans iliingizwa nchini kwa mgongo wa wanasiasa (Kikwete na Rostam)
d. Mkataba wenyewe ulikuwa mbaya ukiipendelea Dowans (rejea kauli za Surtee na Munayi kwenye kamati ya Mwakyembe)
e. Kampuni ya Dowans ni kampuni ya "on shelf) ambayo ilianzishwa kwa ajili ya kupewa dili na serikali kama sehemu ya kurudisha fadhila ya kumsaidia JK kwenye uchaguzi wa 2005.