ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,845
- 44,506
- Thread starter
- #1,021
Kwamba nimezidi nini sasa twinTwin, huenda moderator alisoma akaishia kusema 'huyu leo amenizidi'.. delete! 😂😂
Kuandika sana au🤣🤣
Kwamba nimezidi nini sasa twinTwin, huenda moderator alisoma akaishia kusema 'huyu leo amenizidi'.. delete! 😂😂
Hata mimi nashindwa kujua umezidi nini, maana kuandika vizuri siyo kosa bana. 😂Kwamba nimezidi nini sasa twin
Kuandika sana au🤣🤣
Shenziii zako twin 🤣🤣🤣Hata mimi nashindwa kujua umezidi nini, maana kuandika vizuri siyo kosa bana. 😂
Labda alikosea kitufe, alitaka kubonyeza Like akabofya delete 😂.
Ila huo uzi aurudishe 😂, nipo tayari kuwa mbadala wa uzi, uzi urudi me nile ban 😂😂Shenziii zako twin 🤣🤣🤣
Kidude hicho vp na kuna sehemu nyingine nimeona mauza uza
Acha kunichekesha 🤣🤣Ila huo uzi aurudishe 😂, nipo tayari kuwa mbadala wa uzi, uzi urudi me nile ban 😂😂
Inawezekana humu JF tupo wachache sana ambao hua hatuna mawasiliano huko siju PM na mtu yeyote yule.Imenibidi nikimbie pm kuchungulia maongezi yetu kama kuna sehemu niliboronga nijiandae na moto wa elevenn
😂😂 Kuna mwingine naye walimfanyia huu mchezo, akawaanzishia uzi kabisa, alinifurahisha tu alichokisema, ngoja nimnukuu.Acha kunichekesha 🤣🤣
Huo umeenda twin
HongeraInawezekana humu JF tupo wachache sana ambao hua hatuna mawasiliano huko siju PM na mtu yeyote yule.
Unanishauri je twin nifungue na mimi au🤣🤣😂😂 Kuna mwingine naye walimfanyia huu mchezo, akawaanzishia uzi kabisa, alinifurahisha tu alichokisema, ngoja nimnukuu.
" Moderators kama hamtorudisha nyuzi zangu mlizo zifuta, mimi ninazo copy zake zote kwa hiyo nitafanya kuwa nazipost upya kila siku ili niwajazie server zenu vizuri"
Nilisoma nikacheka 😂😂
Kama yule jamaa hawa kumjibu kuna uwezekano wewe pia ukampigia mbuzi gitaa Twin 😂😂Unanishauri je twin nifungue na mimi au🤣🤣
Kumbe ni jambo jema Eeh!Hongera
Haya ngoja nitulie tu ila napumzika kuandika acha niwe mpenzi msomaji kwanza kama wewe twin😆Kama yule jamaa hawa kumjibu kuna uwezekano wewe pia ukampigia mbuzi gitaa Twin 😂😂
My baby sis 😍 kumbe sisi ni waifu matirio na hakuna aliyewahi kutuambia? Hofu yangu watu watasema hii ni fekero tumekuja kujifagiliaKwenye kaujeuri hapo 😂💔
Mimi sio mlezi kivipi mkuu? 😂
Sawa twin, lakini nakupa wiki mbili tu, najua utarudi tena na uzi mpya.😂Haya ngoja nitulie tu ila napumzika kuandika acha niwe mpenzi msomaji kwanza kama wewe twin😆
Hakunaaaaaaaa ushindweeeSawa twin, lakini nakupa wiki mbili tu, najua utarudi tena na uzi mpya.😂
Ndio! Sio kila id ni ya kuongea nayo PmKumbe ni jambo jema Eeh!
Kuna muda utakuwa unasoma Madudu kiasi kwamba utatamani tu kurudi kwenye fani yako ya kuandika 😂😂Hakunaaaaaaaa ushindweee
Et madudu watu wanaweka madini twin we haya 😎Kuna muda utakuwa unasoma Madudu kiasi kwamba utatamani tu kurudi kwenye fani yako ya kuandika 😂😂
😂 Utadumu siku chache tu kama msomaji. Kuna nyuzi zingine ukizisoma utajikuta vidole vinawasha kuanzisha uzi wako.Et madudu watu wanaweka madini twin we haya 😎