Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hakuna ubishi kuwa hali ya maisha imekua ngumu hapa nchini kwetu. Bila kuingiza siasa, hebu kama great thinkers tujaribu kuangalia kwa mapana kuhusu matatizo tunayokabiliana nayo kwa sasa, ambayo ndo hasa yanachangia ugumu wa maisha.
1. Mfumuko wa bei
2. Ukosefu wa ajira
Nini kifanyike?
Ctitical thinking! Nimemkumbuka Dr. Lwaitama in critical thinking