johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Msemaji wa ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu amesema 2022 hali ya maisha imekuwa ngumu lakini ugumu huu utaongezeka zaidi na zaidi mwaka 2023.
Dorothy ameitaka serikali kuja na Mpango mkakati wa namna Watanzania watakavyoishi katikati ya ugumu huu wa maisha 2023.
Source: ITV
Dorothy ameitaka serikali kuja na Mpango mkakati wa namna Watanzania watakavyoishi katikati ya ugumu huu wa maisha 2023.
Source: ITV