CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

hii tuzo hii imefanya wasizungumzie kabisa arsenal na gemu yao ya leo..
 
Ni maajabu kama Messi atapewa hiyo tuzo mwaka huu. Hakuwa na msimu mzuri kabisa mwaka 2013.
Ni Ronaldo au Ribbery tu.
 
Afghanistan football federation are the winners for fair play. ...so interesting...
 
Now waiting for the best goal of the year....zlatan, Neymar and matic
 
Blatter na wala hongo wenzake wa FIFA wametuletea kioja kingine

World XI: Neuer; Alves, Thiago Silva, Ramos, Lahm; Iniesta, Xavi, Ribery; Ronaldo, Messi, Ibrahimovic.



The self-proclaimed greatest league in the world - the Premier League - has a grand total of zero representatives.
 
vipi kuhusu shnider 2010 mbona alibeba vikombe vyote lakini tuzo akapewa messi
 
Blatter na wala hongo wenzake wa FIFA wametuletea kioja kingine

World XI: Neuer; Alves, Thiago Silva, Ramos, Lahm; Iniesta, Xavi, Ribery; Ronaldo, Messi, Ibrahimovic.



The self-proclaimed greatest league in the world - the Premier League - has a grand total of zero representatives.

Epl has no one to put on FIFA XI perhaps on reserve
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom