Meizon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 279
- 105
Mafanikio na mchezaji Bora tutasimama kwa yule mwenye mafanikio ya kupata vikombe...na si mibio na kuchana nywele kwa style...amka
ahh! we nawe unaongea kwa hacra cjui!?!! au Ronaldo alisha wahi kuitesa timu yako? hilo swala la nywele c ndo yale yale ya sepp blatter?? acha upuuzi,ongelea mpira co looks za mchezaji!! we vp! angekuwa zidane ungesema wamempa tuzo kisa ana kipara au?? ahahah!