Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anapangisha jumba lake la kifahari kwa takribani Tsh. 25,726,140 kwa mwezi

sidhani,kwakweli Tangu niibiwe Dekio langu na kila mtu anasema hajui na nililianika kwenye kamba, staki tena kushare kamba za kuanika nguo.

Mi niambiwe tu na nihakikishiwe Zamu ya usafi wa choo hapo itakuaje,maswala napangwa zamu hadi Jumapili wakat nakua sipo staki.
🤣🤣🤣🤣Nimekugawa! experience Yako ni kubwa.

Je uhakika wa jirani sio msumbufu wa kuomba omba vimchuzi??
 
Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!

Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.

Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.

View attachment 2591509
Ameanza kujielewa.

Nikisikia anakuwa Muislam sitoshangaa.
 
🤣🤣🤣🤣Nimekugawa! experience Yako ni kubwa.

Je uhakika wa jirani sio msumbufu wa kuomba omba vimchuzi??
Hahah Mbuyu ulianzaga kama mchichaa😂😂

Ndio mana staki vibaraza vya ku share, Majirani wanaopanda ndoo za maji mlangoni kwangu ndio staki.

mwenye nyumba aseme kabisa Mimi chumba changu n kipi, mwanzoni au kule mwisho, cha kati kati sikitaki.
 
Hahah Mbuyu ulianzaga kama mchichaa😂😂

Ndio mana staki vibaraza vya ku share, Majirani wanaopanda ndoo za maji mlangoni kwangu ndio staki.

mwenye nyumba aseme kabisa Mimi chumba changu n kipi, mwanzoni au kule mwisho, cha kati kati sikitaki.
Dalali aulizwe kabisa dari ipo??sio jirani mtukutu kazi yake kutega sikio mida ya wanga au kupanda kabisa kuangalia Darby bila tickets
 
Dalali aulizwe kabisa dari ipo??sio jirani mtukutu kazi yake kutega sikio mida ya wanga au kupanda kabisa kuangalia Darby bila tickets
Mambo hayo nimeyakataaa, ujanja huu naujua huuu😂

tena na faza house ajue kbsa chumba cha ndani staki, mambo yakugongea watu wanifungulie mlango kama naishi kwa watu staki.

Chumba changu n cha nnje tu.
 
Hivi Idriss Sultan zile pesa za Big brother angeishi na wema hapa aweke historia kwa Cr7🤩🤩🤩

Sema zilishaisha.
 
Back
Top Bottom