Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,378
Na bei ya kulinunua itakuwa sh ngapi?Hapo umetupiga kamba million 25 ni hela ndogo sana labda useme billion 25 ili twende sawa.
Na bei ya kulinunua itakuwa sh ngapi?Hapo umetupiga kamba million 25 ni hela ndogo sana labda useme billion 25 ili twende sawa.
Hahahaaaa..JF kila mtu ana hela, msomi, kajenga nyumba kali, ana ndinga kali na anamiliki pisi kali......Pambaf**!!!!!
Ni pesa ndogo sana .Bongo kuna nyumba zinapangishwa kwa pesa ndefu sana.Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!
Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.
Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.
View attachment 2591509
Usijali maskini wenzio tupo mbonaJF kila mtu ana hela, msomi, kajenga nyumba kali, ana ndinga kali na anamiliki pisi kali......Pambaf**!!!!!
mkuu Kila uzi JF nikizurura nakukuta. Umetisha sanaAfu Bongo kuna nyumba za hovyo wanapangisha kwa nusu ya hiyo bei kule Masaki
Labda kuna robot lanisaidiamkuu Kila uzi JF nikizurura nakukuta. Umetisha sana
Tafuta namba za mwenye nyumba madalali wahuni tuWeka namba za dalali sasa.
Vipi taka nani atalipia?Ulinzi shirikishi juu ya Nani?
Mbona anapangisha kwa pesa ndogo hivyo?Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!
Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.
Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.
View attachment 2591509
Swali muhimu sana hili,wenye nyumba wengine wajanja wajanja sana,Vipi taka nani atalipia?
Halafu utasikia we lipa tu,tutakuchimbia jalala ukishahamia litakuwa tayari subiri Sasa ulipe humuoni ng'oooSwali muhimu sana hili,wenye nyumba wengine wajanja wajanja sana,
Jalala Lipo?????
Tena hawa wenye nyumba vijana wana sound hao,usiombe ukutane nae kabla hujampa hela ya kodi atavyokupamba.Halafu utasikia we lipa tu,tutakuchimbia jalala ukishahamia litakuwa tayari subiri Sasa ulipe humuoni ng'ooo
🤣🤣🤣🤣Na usalama wa vibanio kwenye hizo kamba vipi?upo?Tena hawa wenye nyumba vijana wana sound hao,usiombe ukutane nae kabla hujampa hela ya kodi atavyokupamba.
Kwanza hapo Sijui Kamba za kuanikia Nguo tuna share au kila mtu na zake,kuibiwa nguo nmechoka nataka utulivu wa nafsi.
sidhani,kwakweli Tangu niibiwe Dekio langu na kila mtu anasema hajui na nililianika kwenye kamba, staki tena kushare kamba za kuanika nguo.🤣🤣🤣🤣Na usalama wa vibanio kwenye hizo kamba vipi?upo?