Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anapangisha jumba lake la kifahari kwa takribani Tsh. 25,726,140 kwa mwezi

Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!

Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.

Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.

View attachment 2591509
Ni pesa ndogo sana .Bongo kuna nyumba zinapangishwa kwa pesa ndefu sana.
 
Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu (takriban $10,980) sawa na Tsh. 25,726,140/= ( Milioni 25 za Kitanzania ) kwa mwezi!

Jumba hilo lenye ukubwa wa mita za mraba 43,000 linaelezwa kuwa lina vyumba saba vya kulala, bafu tisa, mabwawa mawili ya kuogelea, (Swimming Pool) uwanja wa mpira wa miguu, na kituo cha mazoezi ya viungo vya hali ya juu (Gym) na baadhi ya miongoni mwa maeneo mengine ya kifahari kama chumba cha Cinema na mengine.

Jumba hilo la Kifahari la Ronaldo linaelezwa kuwa ni miongoni mwa majumba ya Kifahari zaidi huku likiwa na paking ya magari ya ndani.

View attachment 2591509
Mbona anapangisha kwa pesa ndogo hivyo?

Tatizo ni nini?
 
Halafu utasikia we lipa tu,tutakuchimbia jalala ukishahamia litakuwa tayari subiri Sasa ulipe humuoni ng'ooo
Tena hawa wenye nyumba vijana wana sound hao,usiombe ukutane nae kabla hujampa hela ya kodi atavyokupamba.

Kwanza hapo Sijui Kamba za kuanikia Nguo tuna share au kila mtu na zake,kuibiwa nguo nmechoka nataka utulivu wa nafsi.
 
Tena hawa wenye nyumba vijana wana sound hao,usiombe ukutane nae kabla hujampa hela ya kodi atavyokupamba.

Kwanza hapo Sijui Kamba za kuanikia Nguo tuna share au kila mtu na zake,kuibiwa nguo nmechoka nataka utulivu wa nafsi.
🤣🤣🤣🤣Na usalama wa vibanio kwenye hizo kamba vipi?upo?
 
🤣🤣🤣🤣Na usalama wa vibanio kwenye hizo kamba vipi?upo?
sidhani,kwakweli Tangu niibiwe Dekio langu na kila mtu anasema hajui na nililianika kwenye kamba, staki tena kushare kamba za kuanika nguo.

Mi niambiwe tu na nihakikishiwe Zamu ya usafi wa choo hapo itakuaje,maswala napangwa zamu hadi Jumapili wakat nakua sipo staki.
 
Back
Top Bottom