kamanda5ch
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 210
- 285
- Thread starter
- #21
Mkuu hii hata mimi ilinitokea juzi nilikuta account mbili ikasema choose an account with which to transact nikasita... technology inawashinda CRDB siku nyingine ukiangalia salio kupitia sim banking unakuta hela pungufu ukienda ATM unakuta ziko sawa....ni hatari sana...hata hivyo account yangu hiyo ni ya kupitishia kamshahara ka madafu tu....
sasa wewe usingesita ungeamua kucheki hiyo account nyingine kujiridhisha na ulikuwa na uwezo wa kuifanya vyovyote upendavyo ni hatari sana hawa watu