Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Unakuta unatoa sh 500,000 kwenye Mpesa wanakukata 6,399 (1%). Hii ni ghali sana. Nimeshangaa sana kuhamisha tu hela toka account yako kwenda account ya simu yako iwe ghali hivyo? Halafu kuingia kwenye app ya SIM Banking kuulizia statement unakuwa charged? kwa nini? kuuliza statment kwa ATM sawa labda kupunguza foleni lakini mm kwenye simu yangu nataka kujua statment kwa nini wani charge.
Nina fikiria tena ku bank na CRDB sio sawa.
Nina fikiria tena ku bank na CRDB sio sawa.