kamanda5ch
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 210
- 285
Leo niliamua nicheki balance kwenye sim banking ya crdb ,ofcoz mimi nina acount moja tu ya hiyo bank, basi nikabofya *150*03# nikaingiza pin then nikachagua balance ,nikakuta kuna acount namba 2, inabidi nichague mojawapo (si unajua mtu unaweza kuwa hata na account 10), nikaduwaa hii ya pili ya nani ,nikacheki jina likatoka la mtu mwingine so nikawa na uwezo wa ku access acount ya huyo jamaa nipendavyo kwa kutumia cmu yangu ,ningependa ningehamisha mpunga wake wote but m innocent nikajisalimisha bank kuwaambia hii ni hatarii kwenye acount zetu
Note
inawezekana account yako ya crdb inatumiwa na watu wengine bila kujua na hii ni kutokana na uzembe wa bank husika so tunza kumbukumbu zako za transaction kila unapofanya.
Note
inawezekana account yako ya crdb inatumiwa na watu wengine bila kujua na hii ni kutokana na uzembe wa bank husika so tunza kumbukumbu zako za transaction kila unapofanya.