Sasa mkuu bush lawyer imeingiaje hapa? Jamaa yuko sahihi. Inawezekana ulikuwa wafanya kazi NMB wakati hawana international debit cards.

Sasa mkuu bush lawyer imeingiaje hapa? Jamaa yuko sahihi. Inawezekana ulikuwa wafanya kazi NMB wakati hawana international debit cards.

Na mm nlifanya hvyo mkuu a/c ilipoanza soma negative nikawaomba bank statement ila nilipopaswa kulipia ile hela nikashindwa i deposit kwenye a/c yangu maana tayar kuna negative balance na ningeiweka ile 15 elfu kwa ajir ya bank statement ingekatwa so tukashindwa kuja na ufumbuz bila kupitia bank statement ila binafsi sikuwah toa zaidi ya nacho kiweka kwa upande wao wanadai kuna hela iliingia kwenye a/c yangu kimakosa sasa msema ukwel bank statement aliposhindikana kupatikana nikatelekeza tu a/c sikuwa na jinsiTatizo watu wanajifanya wanajua sana. Overdraft ni huduma ambayo mtu anaomba haimaanishi kama wewe una akaunti ya hundi unakuwa na uwezo wa overdraft. Saving account inaweza kuwa na deni kwasababu fulani, na kujua nisababu gani? mimi kama mteja natakiwa kuonge na benki husika kujua nini shida?
Mimi shida yangu ipo tofauti nimeshaitaja hapo juu ila sijapata majibu. Nimeuliza iwapo umenunua kitu ukalipa moja kwa moja kwa maana ukaingiza details zako za card. Then hela ikamfikia supplier. Kwa sababu funali fulani supplier akasema atai reverse part ya hela. Ile hela ikiwa reversed inaenda wapi maana hapo hakuna cha pay pal? Naomba ambao wapo sober wanijibu?
Dah vichwa hivi kweli tunafugia nywele nikuulize kwenye PayPal acc yako pesa IPO au haipo? Kama ipo hamisha kurudi kwenye acc yako ya benki na kama umehamisha haijafika ilo ndo hoja
Dah vichwa hivi kweli tunafugia nywele nikuulize kwenye PayPal acc yako pesa IPO au haipo? Kama ipo hamisha kurudi kwenye acc yako ya benki na kama umehamisha haijafika ilo ndo hoja
Nilichotaka ni kujua tu utaratibu upo vipi mimi kuipata hiyo hela. Suala la kusema haitaji degree la nini tena? Hivi kuuliza ni kosa mkuu? Mbona wengine wanajibu vizuri tu wewe ndo unajibu kwa nyodo nyodo.. Kuna mkuu kanielewesha freshi tu taratibu nazopaswa kufanya...Au ndo umeingia na ID nyingine?Mkuu jibu bi simple, sio lazima uwe na degree kujibu. Mfano ukitoka mzigo sehemu A kwenda sehemu B kisha mtu wa B akasema nimerudisha mzigo. Wewe unadhani amerudisha wapi?
Nimewasiliana nao hadi nimechoka sasa ni mwezi mmoja na siku kadhaaa hamna mtu yeyote aliyenipa hata jibu kwamba nisubiri au kunajambo fulani linafanyika, hiyo email yao kama ungeweza kuona ningekupa email yangu inbox uone kuna email zangu zaidi ya saba nimewaandikia hakuna jibu wala maelezo yeyote zaidi hao wa customer service huwa wananionyesha kwamba wanazifowadi kwa DCO (sitaki mtaja jina) lakini huyo mtu hana msaada. Niliwaambia japo waniambie ni nini kimetokea au kinaendelea hawajibu. Nimetumia ile live chat yao karibuni mara nane nawasiliana nao wanasema tumewaambia watashughulia, what else do you want me to do or to believe?Mhhh hii sio kweli mimi nI mtumiaji sana wa huduma hii ya kununua vitu online especially pay pal na ninatumia account na card yangu ya CRDB lakini sijawahi pata matatizo. Ni kweli pesa huwa zinashikiliwa Kwa Masaa kadhaa yasiyozidi 48 lakini baada ya hapo pesa yangu huachiliwa na kukatwa kiasi nilichotumia tuu. Nakushauri uwasiliane nao Kwa e mail Yao customer-hotline@crdbbank.com na number ya simu 0755 197700 na utapatiwa huduma haraka. Benki haimuibii mtu tuache kupotosha jamii Kwa akili zetu finyu na uelewa mdogo... watafute watakusaidia CRDB BANK wapo vizuri jmn
Mpaka utoe kashfa kwanza halafu ndo umueleweshe.I hate this kind of peopleWatu humu shule sijui tunaenda kufanya nini umesema umenunua kupitia PayPal na pesa iko PayPal sasa hapo Crdb atarudishaje hela wakati iko kwenye acc yako ya paypal? Ni lazima wewe uhamishe pesa iliyoko PayPal kwenda bank kwasababu bank haina access na account yako ya paypal

wote tunanunua vitu online ni kweli. Ila je ushawahi kuwa refunded hela? Maana hilo ndo swali la msingi. Na sidhani kama umesoma post yote ya mtoa mada vizuri kabla ya kuandika..mimi pia huwa Nanunua vitu kwa njia ya mtandao...na nafanikiwa sana.. hebu wwtanzania tubadilike kidogo kulalamika katika mitandao haisaidii na wala hapa sio pa kumaliza tatizo lako..watafute kwa number zao za simu au tuma email kwenda customer-hotline@crdbbank.com utasaidika haraka Huduma kwa wateja ya CRDB kiukweli wapo vizuri sana hebu jaribu hata kuwatumia taarifa zako inbox ya Facebook au instagram utasaidiwa pia...mimi nikikwama ndo huwa natumia njia hiyo katika kuwaafuta....Fanya hivyo sasa hivi utasaidiwa wapo 24 hrs katika mitandao ya kijamii...na katika kuwahudumia wateja kwa njia ya simu!
GoodWatu humu shule sijui tunaenda kufanya nini umesema umenunua kupitia PayPal na pesa iko PayPal sasa hapo Crdb atarudishaje hela wakati iko kwenye acc yako ya paypal? Ni lazima wewe uhamishe pesa iliyoko PayPal kwenda bank kwasababu bank haina access na account yako ya paypal
ID nyingine unamaanisha nini? Hakuna nyodo mkuu ni ujibuwa wangu, napenda kutoa jibu la wazi na kwa mifano.Nilichotaka ni kujua tu utaratibu upo vipi mimi kuipata hiyo hela. Suala la kusema haitaji degree la nini tena? Hivi kuuliza ni kosa mkuu? Mbona wengine wanajibu vizuri tu wewe ndo unajibu kwa nyodo nyodo.. Kuna mkuu kanielewesha freshi tu taratibu nazopaswa kufanya...Au ndo umeingia na ID nyingine?
Soma post yake vizuri..Unadhani msaada anaupata huku zaidi ya kutokwa na maneno na kulala tuh! Nenda kwenye page yao ya facebook, twitter lakini pia unaweza kuongeano kwenye website yao (www.crdbbank.com) utapata msaada.
Wewe hujatoa jibu umeuliza swali. Kuna mdau yeye ndo amenipa jibu nililolielewa.. End of discussion...ID nyingine unamaanisha nini? Hakuna nyodo mkuu ni ujibuwa wangu, napenda kutoa jibu la wazi na kwa mifano.
Nakushukuru refund ya visa ni siku 145 international standardsHata direct refund za Visa haziendi kwenye akaunti. Nafikiri usiongelee kitu amabacho hukijui. Tuliokumbana na kadhia huyo tunajua tunachokiongeaa
Safi hili ndo jibu zuri mkuu. Sio hao wengine wanamanga manga tu....Nakushukuru refund ya visa ni siku 145 international standards
GoodNimefanya kazi benki shida mnajifanya mnajua kumbe bush lawyer kwenye kadi yako kuna alama ya PayPal? Na unaelewa maana ya visa au MasterCard?
Inachukua muda gani kkwa uzoefu wako?Na mara nyingi nikirudishiwa hela paypal nao huwa wananitumia email kwamba nimerudishiwa hela na kwakuwa huwa nanunua kwa kutumia CRDB Visa Card hela yangu huwa inarudi kwenye akaunti yangu.