CRDB hii siyo haki. Ndo mambo gani haya?

CRDB hii siyo haki. Ndo mambo gani haya?

Wenzetu serikali ingechukua hatua zamani
Ila kwa kuwa hawajali, ndio hivyo tena.

Niliacha kuweka hela bank hizo miaka mingi sana sasa
Kisa wizi wa kipumbavu kama huu
Ukienda na hela wanakuambia 10,000 imepungua
Bank waizi unategemea wapi kuna Usalama
 
Ap ya crdb hauwezi kuscreenshot kwa sababu za kiusalama, najiuliza simu yako ni simu gani au ap yako ya simbanking umedownload kutoka kwenye source ipi sina majibu,
Na wewe pia jiulize hilo
Acha ujuaji. Hii hapa screenshot ingine dakika 4 tu zilizopita.

IMG_8455.jpeg
 
Nikikwambia nitakachowafanya si watajitayarisha…

Majemedari huwa hawaweki hadharani mbinu zao za mapambano.
Mkuu hawa watu saivi wametushika pabaya na wanajua hatuna cha kufanya 'tutapiga kelele siku kadhaa tutanyamaza', Mahakama wanaicontrol wanavotaka POLICE wapo upande wao wakuu wa hizi taasisi za kifedha ni watu wao...

Wanaweza wasirudishe hela zako huna cha kuwafanya, wanaweza kuzirudisha ukawa unaona balance lakini huwezi kutoa hela na hutakua na cha kuwafanya.
 
Back
Top Bottom