CRDB hii siyo haki. Ndo mambo gani haya?

CRDB hii siyo haki. Ndo mambo gani haya?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,157
Reaction score
137,185
Hivi hii benki imekuwaje siku hizi?

Huu sasa ni wizi na watu wana kila sababu ya kuamini mnawaibia pesa zao.

Jamaa wamekwangua hela yangu yote na wakabakisha Tsh.0.01.

IMG_8454.jpeg


Acheni kucheza na hela za watu bana.

Rudisheni hela za wote mliowaibia.

Mnachofanya ni wizi wa wazi wazi kabisa na hamuwezi tena kusingizia sijui maboresho au ushuzi mwingine wowote ule.

Rudisheni haraka hela za watu la sivyo mnajitakia mabaya tu.

Mbwa nyie.

🖕
 
Hivi hii benki imekuwaje siku hizi?

Huu sasa ni wizi na watu wana kila sababu ya kuamini mnawaibia pesa zao.

Jamaa wamekwangua hela yangu yote na wakabakisha Tsh.0.01.

View attachment 3484722

Acheni kucheza na hela za watu bana.

Rudisheni hela za wote mliowaibia.

Mnachofanya ni wizi wa wazi wazi kabisa na hamuwezi tena kusingizia sijui maboresho au ushuzi mwingine wowote ule.

Rudisheni haraka hela za watu la sivyo mnajitakia mabaya tu.

Mbwa nyie.

🖕
Weka akaunti namba na salio ulilokuwa nalo kabla.
 
Back
Top Bottom