Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,157
- 137,185
Hivi hii benki imekuwaje siku hizi?
Huu sasa ni wizi na watu wana kila sababu ya kuamini mnawaibia pesa zao.
Jamaa wamekwangua hela yangu yote na wakabakisha Tsh.0.01.
Acheni kucheza na hela za watu bana.
Rudisheni hela za wote mliowaibia.
Mnachofanya ni wizi wa wazi wazi kabisa na hamuwezi tena kusingizia sijui maboresho au ushuzi mwingine wowote ule.
Rudisheni haraka hela za watu la sivyo mnajitakia mabaya tu.
Mbwa nyie.
🖕
Huu sasa ni wizi na watu wana kila sababu ya kuamini mnawaibia pesa zao.
Jamaa wamekwangua hela yangu yote na wakabakisha Tsh.0.01.
Acheni kucheza na hela za watu bana.
Rudisheni hela za wote mliowaibia.
Mnachofanya ni wizi wa wazi wazi kabisa na hamuwezi tena kusingizia sijui maboresho au ushuzi mwingine wowote ule.
Rudisheni haraka hela za watu la sivyo mnajitakia mabaya tu.
Mbwa nyie.
🖕