Sio kweli kuna NMB wakala kila kona na bado unaweza ukaweka pesa benki kutoka kwenye kitochi chakoHuduma zenu mbovu mwisho wa mwezi msururu ni balaa kusotea pesa yangu kisa nini.
Sijaona tatizo (nielimishe)Ni vizuri Umeweka ufafanuzi lkn wkt mwingine zuia baadhi ya details