LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,106
- 27,090
Siamini kama crdb wamekuwa wababaishaji kiasi hiki...
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba namba ya akaunti, namba SITA za Mwanzo za kwenye card number yangu na namba nne za Mwisho. Nikafanya kama walivyo agiza then nikaaambiwa after 24 hours nitatumiwa namba..
Two days later number bado haijatumwa. Nikaamua kwenda makao makuu.
.
wakachukua details zangu nikaaambiwa nitatumiwa namba baada ya masaa 24.
siku tatu zikapita bila majibu. Nikapiga simu.. nikaambiwa Tena ntatumiwa namba baada ya masaa 24..
seven hours later nikatumiwa temporary access code...
Kwenda kwenye website Yao nikafanya kama walivyo elekeza..
Sehemu ya majina yangu nikajaza jina la Mwanzo na la mwisho Kwa herufi kubwa then nikaweka na hiyo temporary access code Yao..
Baada ya Ku click, ikaleta majibu Password and names do not match.
Nikajaribu mara ya pili, password and names do not match.
mara ya tatu nikaambiwa the service has been suspended.
nikapiga simu nikaambiwa ntatumiwa access code nyingine after two hours.
after two hours HAKUNA namba iliyo tumwa, kupiga simu nikaambiwa after twenty four hours natumiwa namba..
toka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
yani watu wenu wa it wanafanya mambo kienyeji Sana. Like seriously!!! Yani hawawezi kufanya majukumu Yao mpaka uwapigie kuwakumbusha?
This is too unprofessional. Enzi za Kimei hakukuwaga na ubabaishaji kama huu.
IT EXPERTS wa Standard Chartered Wana kitu gani ambacho IT experts WA Crdb hawana?
how comes nimeenda Standard Chartered nimefungua account, Kadi ilivyo kuwa activated nikaenda kujiunga na huduma ya online purchasing na imekuwa activated ndani ya siku moja?
Nitamshauri vp MTU anaetaka kujiunga na huduma ya online purchasing akafungue akaunti Crdb wakati Standard Chartered wapo?
Hata ngombe Hawezi kuyapeleka Makinda yake kunywa maji kwenye kisima chenye maji machafu wakati anajua mahali kilipo kisima chenye maji masafi.
Dunia ya sasa karibu kila kitu kinafanyika online..Taasisi kubwa kama crdb inakuwa na experts wanao fanya ubabaishaji kwenye kitengo muhimu kama hicho inakuwa haimake sense..
Kwa usumbufu mlio nifanyia mngeufanya Kwa mtu kama Mtikila am sure as hell huko mahakamani kungekua na jalada linalosomeka MTIKILA Vs CRBD.
Angewashtaki for the breach of contract
crdb lifanyieni kazi Tatizo haraka iwezekanavyo.
asanteni na kwaherini
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba namba ya akaunti, namba SITA za Mwanzo za kwenye card number yangu na namba nne za Mwisho. Nikafanya kama walivyo agiza then nikaaambiwa after 24 hours nitatumiwa namba..
Two days later number bado haijatumwa. Nikaamua kwenda makao makuu.
.
wakachukua details zangu nikaaambiwa nitatumiwa namba baada ya masaa 24.
siku tatu zikapita bila majibu. Nikapiga simu.. nikaambiwa Tena ntatumiwa namba baada ya masaa 24..
seven hours later nikatumiwa temporary access code...
Kwenda kwenye website Yao nikafanya kama walivyo elekeza..
Sehemu ya majina yangu nikajaza jina la Mwanzo na la mwisho Kwa herufi kubwa then nikaweka na hiyo temporary access code Yao..
Baada ya Ku click, ikaleta majibu Password and names do not match.
Nikajaribu mara ya pili, password and names do not match.
mara ya tatu nikaambiwa the service has been suspended.
nikapiga simu nikaambiwa ntatumiwa access code nyingine after two hours.
after two hours HAKUNA namba iliyo tumwa, kupiga simu nikaambiwa after twenty four hours natumiwa namba..
toka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
yani watu wenu wa it wanafanya mambo kienyeji Sana. Like seriously!!! Yani hawawezi kufanya majukumu Yao mpaka uwapigie kuwakumbusha?
This is too unprofessional. Enzi za Kimei hakukuwaga na ubabaishaji kama huu.
IT EXPERTS wa Standard Chartered Wana kitu gani ambacho IT experts WA Crdb hawana?
how comes nimeenda Standard Chartered nimefungua account, Kadi ilivyo kuwa activated nikaenda kujiunga na huduma ya online purchasing na imekuwa activated ndani ya siku moja?
Nitamshauri vp MTU anaetaka kujiunga na huduma ya online purchasing akafungue akaunti Crdb wakati Standard Chartered wapo?
Hata ngombe Hawezi kuyapeleka Makinda yake kunywa maji kwenye kisima chenye maji machafu wakati anajua mahali kilipo kisima chenye maji masafi.
Dunia ya sasa karibu kila kitu kinafanyika online..Taasisi kubwa kama crdb inakuwa na experts wanao fanya ubabaishaji kwenye kitengo muhimu kama hicho inakuwa haimake sense..
Kwa usumbufu mlio nifanyia mngeufanya Kwa mtu kama Mtikila am sure as hell huko mahakamani kungekua na jalada linalosomeka MTIKILA Vs CRBD.
Angewashtaki for the breach of contract
crdb lifanyieni kazi Tatizo haraka iwezekanavyo.
asanteni na kwaherini