CRDB, makato haya ya annual card fee yameanza lini?

CRDB, makato haya ya annual card fee yameanza lini?

bestboy

Senior Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
195
Reaction score
199
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, leo nilibahatika kupata muda na kutembelea ATM ya benki ninayotumia ya CRDB kwa lengo la kujua salio langu.

Kabla ya kuangalia salio nikaona nianze na kuomba statement ili nione mihamala ambayo nimeifanya kwa mara ya mwisho.

Statement ilipotoka niliona nimekatwa zaidi ya shilingi elfu kumi na tatu (13,568) ikionyesha ni ANNUAL CARD FEE.

Nimestushwa sana na hili maana ni mara ya kwanza toka nianze kutumia CRDB kwa miaka mingi iliyopita, naomba kama kuna anaefahamu juu ya makato haya anifahamishe zaidi.

Kama makato haya ni mapya inakuwaje wanatukata bila kutupa taarifa wateja wao?

Inasikitisha sana, nafikiria pia kufika kwenye tawi langu J3 kuonana na meneja kuoata maelezo zaidi.
 
CRDB wanaupiga mwingi kwenye hii annual card fee tangu kitambo.
Ukirudi kwenye bank statement za miaka ya nyuma,utaiona kila mwaka.
Pitia tariff zao za kila mwaka utaona. Nimeattach ya 2021.
 

Attachments

NMB walinitumia sms kuwa wanakata Tozo ya serikali kwenye account niangalie salio kwa uthibitisho zaidi,mweee nikacheck nakuta wamefyeka kweli[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
 
NMB walinitumia sms kuwa wanakata Tozo ya serikali kwenye account niangalie salio kwa uthibitisho zaidi,mweee nikacheck nakuta wamefyeka kweli[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Huku CRDB imeandikwa ANNUAL CARD FEE, sidhani kama ndio hiyo Tozo ya Serikali.
 
Mbona hilo lipogo Mkuu kwenye tarrifs zao?

Tena hiyo ni Tembo Master/Visa Card.

Kuna zile za visa za Gold ni 25,000
Alafu Platinum ni 50,000.

Pole.
 
Mkuu hayo makato yapo kitambo sana. Inategemea na aina ya akaunti uliyonayo. Mf. Scholar a/c hainaga card fee, Fahari a/c inachajiwa 5000 card fee, fahari kilimo haina card fee, saving a/c inachajiwa card fee 15000, na nyingine nyingi. JJ a/c hainaga card fee

Naongea bila kubahatisha. Hata ukienda kumuona MD bado akaunti yako itaendelea kukatwa card fee. Haya makato siyo mapya isipokuwa zamani walikuwa wanachaji kidogo kidogo, so ikawa ni ngumu mteja kugundua labda awe mfatiliaji sana.

Kwa sasa ni rahisi kugundua maana inakatwa mara moja, pole mkuu
 
Ni Shilingi 13,568 kwa mwaka, kwa mwezi ni Shilingi 1,130.67 na kwa siku ni Shilingi 37.68!
 
Mkuu hayo makato yapo kitambo sana. Inategemea na aina ya akaunti uliyonayo. Mf. Scholar a/c hainaga card fee, Fahari a/c inachajiwa 5000 card fee, fahari kilimo haina card fee, saving a/c inachajiwa card fee 15000, na nyingine nyingi. JJ a/c hainaga card fee

Naongea bila kubahatisha. Hata ukienda kumuona MD bado akaunti yako itaendelea kukatwa card fee. Haya makato siyo mapya isipokuwa zamani walikuwa wanachaji kidogo kidogo, so ikawa ni ngumu mteja kugundua labda awe mfatiliaji sana.

Kwa sasa ni rahisi kugundua maana inakatwa mara moja, pole mkuu
Asante mkuu inawezekana sikugundua hili mapema. Kama nisingechukua statement wala nisingejua kwamba kuna haya makato.
Inawezekana nilikuwa nakatwa kumbe bila mimi kujua.
Duh.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, leo nilibahatika kupata muda na kutembelea ATM ya benki ninayotumia ya CRDB kwa lengo la kujua salio langu. Kabla ya kuangalia salio nikaona nianze na kuomba statement ili nione mihamala ambayo nimeifanya kwa mara ya mwisho. Statement ilipotoka niliona nimekatwa zaidi ya shilingi elfu kumi na tatu (13,568) ikionyesha ni ANNUAL CARD FEE.
Nimestushwa sana na hili maana ni mara ya kwanza toka nianze kutumia CRDB kwa miaka mingi iliyopita, naomba kama kuna anaefahamu juu ya makato haya anifahamishe zaidi. Kama makato haya ni mapya inakuwaje wanatukata bila kutupa taarifa wateja wao?

Inasikitisha sana, nafikiria pia kufika kwenye tawi langu J3 kuonana na meneja kuoata maelezo zaidi.

Nimetumiwa bank statement isee bado kidogo nipige Ukunga [emoji17]naona bora Equity
 
Hapo hujachek bank charges kila mwezi, lakini me niwaambie inategemea na aina ya akaunti.
 
Mkuu hayo makato yapo kitambo sana. Inategemea na aina ya akaunti uliyonayo. Mf. Scholar a/c hainaga card fee, Fahari a/c inachajiwa 5000 card fee, fahari kilimo haina card fee, saving a/c inachajiwa card fee 15000, na nyingine nyingi. JJ a/c hainaga card fee

Naongea bila kubahatisha. Hata ukienda kumuona MD bado akaunti yako itaendelea kukatwa card fee. Haya makato siyo mapya isipokuwa zamani walikuwa wanachaji kidogo kidogo, so ikawa ni ngumu mteja kugundua labda awe mfatiliaji sana.

Kwa sasa ni rahisi kugundua maana inakatwa mara moja, pole mkuu
Kwanini wakate iyo pesa mkuu?

Unapofungua account unalipa, gharama za uendeshaji wa account unakatwa, ukitoa pesa unakatwa, ukiangalia balance unakatwa.

Hii pesa inakatwa kwajili ya kitu gani Au huduma gani waliyompa mteja?
 
Kwanini wakate iyo pesa mkuu?

Unapofungua account unalipa, gharama za uendeshaji wa account unakatwa, ukitoa pesa unakatwa, ukiangalia balance unakatwa.

Hii pesa inakatwa kwajili ya kitu gani Au huduma gani waliyompa mteja?
Mkuu hili swali ni zuri sana endapo tu utamhoji afisa anayekufungulia akaunti. Mimi siyo msemaji wao. Na kingine cha kukuongezea ukiwa unamhoji, muulize kwanini anakuchaji card fee wakati card ikiisha muda wake kurenew utachajiwa tena 11300, ikipotea 22500 na ukiharibu 22500.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, leo nilibahatika kupata muda na kutembelea ATM ya benki ninayotumia ya CRDB kwa lengo la kujua salio langu. Kabla ya kuangalia salio nikaona nianze na kuomba statement ili nione mihamala ambayo nimeifanya kwa mara ya mwisho. Statement ilipotoka niliona nimekatwa zaidi ya shilingi elfu kumi na tatu (13,568) ikionyesha ni ANNUAL CARD FEE.
Nimestushwa sana na hili maana ni mara ya kwanza toka nianze kutumia CRDB kwa miaka mingi iliyopita, naomba kama kuna anaefahamu juu ya makato haya anifahamishe zaidi. Kama makato haya ni mapya inakuwaje wanatukata bila kutupa taarifa wateja wao?

Inasikitisha sana, nafikiria pia kufika kwenye tawi langu J3 kuonana na meneja kuoata maelezo zaidi.
Hawa Crdb wana makato ya hovyo juzi yenyewe nimecheki kuna. kama. elfu 9 wamefyeka

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, leo nilibahatika kupata muda na kutembelea ATM ya benki ninayotumia ya CRDB kwa lengo la kujua salio langu. Kabla ya kuangalia salio nikaona nianze na kuomba statement ili nione mihamala ambayo nimeifanya kwa mara ya mwisho. Statement ilipotoka niliona nimekatwa zaidi ya shilingi elfu kumi na tatu (13,568) ikionyesha ni ANNUAL CARD FEE.
Nimestushwa sana na hili maana ni mara ya kwanza toka nianze kutumia CRDB kwa miaka mingi iliyopita, naomba kama kuna anaefahamu juu ya makato haya anifahamishe zaidi. Kama makato haya ni mapya inakuwaje wanatukata bila kutupa taarifa wateja wao?

Inasikitisha sana, nafikiria pia kufika kwenye tawi langu J3 kuonana na meneja kuoata maelezo zaidi.
Unasafiri zaidi ya km 5 na unapoteza zaid ya nusu saa kufuatilia na kupata maelezo makato ya Tsh. kumi na tatu elfu as annual fee card kama ulivyoambiwa,watafute kwa njia mbadala na zionee huruma fedha na muda wako
 
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, leo nilibahatika kupata muda na kutembelea ATM ya benki ninayotumia ya CRDB kwa lengo la kujua salio langu. Kabla ya kuangalia salio nikaona nianze na kuomba statement ili nione mihamala ambayo nimeifanya kwa mara ya mwisho. Statement ilipotoka niliona nimekatwa zaidi ya shilingi elfu kumi na tatu (13,568) ikionyesha ni ANNUAL CARD FEE.
Nimestushwa sana na hili maana ni mara ya kwanza toka nianze kutumia CRDB kwa miaka mingi iliyopita, naomba kama kuna anaefahamu juu ya makato haya anifahamishe zaidi. Kama makato haya ni mapya inakuwaje wanatukata bila kutupa taarifa wateja wao?

Inasikitisha sana, nafikiria pia kufika kwenye tawi langu J3 kuonana na meneja kuoata maelezo zaidi.
Hapo hawajakata 22000 kukutunzia akaunti yako, 1400 ya kila muamala wa atm, 10000 ya hiyo statement . Na bado. Nimeambiwa Hamieni Burundi hamtaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom