Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,932
- 62,655
- Thread starter
- #21
Hata mimi inanisumbua kuielewa hii kitu nini mantiki yake. Kwa sababu kila huduma ninayoihitaji nalipia. Kuweka fedha nalipia, kuchukuwa nalipia (iwe counter au ATM). Sasa haya makato ya card fee mimi nayaona kama 'naporwa' hivi!!!
CRDB HEBU WALIANGALIE HILI. LINA UKAKASI. KUMBUKA PESA ZA WATEJA WANAKOPESHA NA KUTENGENEZA FAIDA.
Sent using Jamii Forums mobile app
huu ni wizi!