Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,929
- 62,643
Leo nilikuwa naangalia bank statement yangu, nikakuta hawa CRDB wamekwangua shilingi 7999 kwenye account yangu eti card fee, hii card fee ya nini wakati mimi nakatwa hela kila ninapofanya muamala?
Halafu kibaya zaidi hawa jamaa hawawatangazii wateja wanapoweka fee hizo au kuziongeza
Kumiliki Kadi si ni sehemu ya huduma, ya Kibenki mbona mimi nikiweka pesa zangu manazizunguusha na kupiga mafaida kibao kwa kukopesha watu iweje huduma basic kama kadi mtutoze pesa zote hizo.
Ndugu wana JF mkipata muda chungulieni account zenu , ombeni na bank statement hawa jamaa wanakwangua hela ndefu wanayoita cardfee.
Jamaa wanashiriki kwenye kuyafanya maisha yetu yawe magumu!!
CRDB msitafute hela kiujanja!!!
Halafu kibaya zaidi hawa jamaa hawawatangazii wateja wanapoweka fee hizo au kuziongeza
Kumiliki Kadi si ni sehemu ya huduma, ya Kibenki mbona mimi nikiweka pesa zangu manazizunguusha na kupiga mafaida kibao kwa kukopesha watu iweje huduma basic kama kadi mtutoze pesa zote hizo.
Ndugu wana JF mkipata muda chungulieni account zenu , ombeni na bank statement hawa jamaa wanakwangua hela ndefu wanayoita cardfee.
Jamaa wanashiriki kwenye kuyafanya maisha yetu yawe magumu!!
CRDB msitafute hela kiujanja!!!