KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,150
Kama kuna bank inayofanya vizuri kwa sasa no hao CRDB.Lah! Fungua account bank nyingine
Hii Benki itazamwe kwa jicho la ziada na serikali maana kuna uhuni mwingi unafanyika na kukwaza wateja.
Unakuwa na kias kikubwa benki lkn ukiangalia salio unakuta hakuna pesa ukifanya hivyo baadae unakuta pesa IMO wakati mwingine ukitaka kutumia huduma ya simbanking unaambiwa huna salio hata kama statement yako kuna ela za kutosha badiliken msipofanya hivyo kiama kinakuja.
Kwa sim banking yao nilitoa 3,390,000/- Wakanikata 640,000/-Sasa huu si wizi huu wa mchana??SINA HAMU NAO TENA MAISHA NA HUWA NAWASHAURI WATU WASIITUMIE KWANI NI UBABABISHAJI NA WIZI?
WEKENI WAZI SERVICE AMMOUNT ZENU SIO UJANJA UJANJA TU!0656880804
Tuliwahi kuhamasisha wateja wote wenye kutumia benki tuanzishe chama chetu, wazo hili halikupewa nafasi ndani ya "mioyo yetu".
Ili upate huduma bora lazima uwe mteja BORA. Huwezi kupata huduma bora wakati wewe ni mteja wa hovyo. Na mtu kuwa mteja bora lazima awe na weledi juu ya huduma anayopewa. Ajue haki zake na wajibu wake. Ajigeuze reli ili treni ipite kwa maana afanye juhudi kuondoa uozo na mapingamizi ya upatikanaji wa huduma bora kwa faida yake na vizazi vijavyo.
Ni kweli CRDB na benki zingine wana matatizo lakini Tatizo kubwa lipo kwa wateja. "If you want to change the world you must change you first"
Hamia nmb ukaonje joto ya jiweHapa moshi kila nikitaka kutoa pesa nakutana na tatizo la network,..cjatoa pesa kwa mda wa mwezi sasa.
..CRDB nsha achana nao saa hii..benki zipo kibao..Hamia nmb ukaonje joto ya jiwe
Hakuna bank iko vizuri Kama CRDB,ikitoake shida ujue kuna shida tu ya mitandao ambayo ina gusa bank zote hapa Tz. Kwajumla nawapenda sana wako juu.
Una maanisha ahame huko si ndio eeh?CRDB ni mama au baba yako?