Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,221
- 128,982
Duh...!.Paskali acha kutetea ujinga, mbona umekua lipuuzi namna hii? Magufuli anatakiwa ajitokeze sasa, aoneshe njia. Kama u-Rais umemshinda ajiuzulu, apishe wengine wenye ujasiri na weledi katika vita hii.
Tumalizane kwanza na corona then tuwajibishane
Nchi ikivamiwa sio kwamba tunamtoa rais madarakani kwanza majeshi yanapambana kila mtu kwa uwezo wake then tukimaliza ndio tunaenda kwake kumwajibisha kwa uzembe.
Ila pamoja na mambo mengine yote kitendo cha Rais kwenda kukaa Chato kwenye vita kinaacha maswali mengi sana kama kweli tuna mtu mzalendo kwa taifa lake.
Kama corona hajaileta yeye kaileta nan?corona ishakuwa mtaji wa kisiasa kazi kweli kwelii
chukueni hatua za kujikinga acheni lawama mnalaumu utafikiri hiyo corona imeletwa na magufuli
Vita vinapigwana kisasa, the command post ni Chatto. Usually the command post inapaswa iwe established mahali ambapo ni safest place in the area. Save heavens zetu kwa sasa ni Chatto.
P
Paschal hata Kama unataka ubunge kupitia CCM, lakini kwa hili acha unafiki. Kwanza nikuulize, Magufuli yuko wapi? Huko anafanya nini? Kwa nini sisi Wananchi tukimshauri hatusikilizi ila anataka tumsikilize yeye tu?Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane. Huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Zitto,
Uwe na utulivu.
Huu si wakati wa politics. Ni wakati wa kuwasikiliza wataalamu wa afya. Channel mawazo yako huko ili kamati husika ije na neno la kuwasaidia Watanzania.
Hatuwezi kusikiliza matamko ya Kila mtu mtandaoni, please take a break.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Ikulu zote mbili si salama tena! Kama ikiwa state house si salama, je Kariakoo mtaa wa Congo?Vita vinapigwana kisasa, the command post ni Chatto. Usually the command post inapaswa iwe established mahali ambapo ni safest place in the area. Save heavens zetu kwa sasa ni Chatto.
P
Corona inachukuwa muda mrefu kujitokeza kwenye mwili wa mwanadamu, kama Corona kuingia Tanzania itakuwa imeingia mda mrefu nyuma kuliko April 2020. Hata kama serikali ingefunga border zote baada mgonjwa wa kwanza, case za corona zingekuwepo Tanzania kutokana na dunia ilivyo hivi sasa.
Ukisema hakuna kitu serikali imefanya, ulitaka kuona nini kinafanyika? je hakuna hospitali zinatibu wagonjwa na wengine wapo quarantine? Au ndio mlitaka kuona LOCKDOWN na watu wanateseka kawa kukosa chakula na kipato?
Au ulitaka wakulima wasiotumia mvua zilizopo kulima na nchi ingie kwenye janga la njaa huku tukiomba misaada ya chakula kutoka nje?
Kila nchi ina njia zake,sio lazima Rais atoke kwenye tv atroti ndani ya ofisi kama museveniWakati Nchi ikiwa katika maambukizi mtu mwenye Mamlaka ya Juu kabisa katika Nchi yetu, Rais John Pombe Joseph Magufuli haonekani kuendesha mapambano kama tunavyoona kwa mataifa jirani kama Kenya, Rwanda, Uganda, Afrika Kusini nk. Mara chache ambazo Rais amejitokeza ametoa kauli zinazoonyesha kuwa COVID 19 sio tatizo na hivyo kushawishi watu kuendelea na shughuli za mikusanyiko ambazo zinakuza maambukizi. Pia tumeona Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na baadhi ya watu wa karibu na Rais wakihamasisha mikusanyiko ya watu.
Mtaulinda uozo hadi lini!!!? Uongozi wa awamu ya tano mi uozo mtupu.Kila nchi ina njia zake,sio lazima Rais atoke kwenye tv atroti ndani ya ofisi kama museveni
Rais anaongoza nchi na wasaidizi wake wapo
Rais alitoa picha akiwa ikulu,mlitukana sana na kukebehi mpaka kufikia kusema hamtaki kujua Rais alipo
Kama marekani na maguvu yake wamekufa 3,000 hapa Tanzania unataka nani awajibishwe?Andika tu barua world bank tunyimwe misaada na mikopo kwa ajili covic 19,kwa sababu hatukusikiliza maoni yako
Sawa tusimame pamoja tupigane, shauri basi tupigane vipiZitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane. Huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
wewe nawe una uchama sana, stand together ipi! tangu kitambo wanashauliwa wafunge mipaka hawakusikia, nyinyi ndio hamtufai kabisa nchini,mnanidham ya uoga!Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane. Huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Mkuu Zakaria, humu jf si mtu unajibu maswali kama jibu unalo la kujibu?, ukiulizwa swali kama huna jibu, kukaa kimya pia nalo ni jibu!.Paschal jibu maswali yangu, "like" ina maana gani!!? Haiwezi kuwa badala ya majibu.
Mtaulinda uozo hadi lini!!!? Uongozi wa awamu ya tano mi uozo mtupu.
Sasa lugha kama hizi ndio lugha gani za kujibiwa?.Paschal jibu maswali yangu, "like" ina maana gani!!? Haiwezi kuwa badala ya majibu.