Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,252
- 34,202
Nenda kamwambie jiwe awaambie TCRA waweke za nokia tochi.Nimeiona hiyo unaongelea matajiri wenye smartphone za Samsung smart phone zingine hazina hizo.options.
Watu wengine ambao ndio kundi kubwa ambao hawana smartphone hizo za Samsung au iPhone na Simu kali zenye android 9 ambao huziweka password watasaidikaje wakati hizo options hazipo?
.Tusaidie mwenye Nokia torch yenye password au simu ya smartphone ambayo haina hizo facility ikiwa na password unafanyaje?