Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Hakyanani!
Ni kwamba jamaa anakuwa ameishiwa na mafao nini, ndo anatoswa live?
Nyimbo alizoimbisha "before'...huskika zikiwa "flat' after na kuumiza masikio..inabidi ukimbie!
Hakyanani!
Ni kwamba jamaa anakuwa ameishiwa na mafao nini, ndo anatoswa live?
Nawatakia safari njema na DA ukitoka hapo upitilize kwenu sikutaki tena
Maana unanidanganya kila siku
Nawatakia safari njema na DA ukitoka hapo upitilize kwenu sikutaki tena
Maana unanidanganya kila siku
Nyimbo alizoimbisha "before'...huskika zikiwa "flat' after na kuumiza masikio..inabidi ukimbie!
Mimi bado..... Labda tukifika Lindi..... Lkn Urafiki uko palepale.... Kama ni hivyo ngoja nikuachie nirudi kwa zamani...
Huna ubavu wewe unaongea kwa keyboards nikitokea huwezi sema haya
Wewe haya shauri yako...................
Huna ubavu wewe unaongea kwa keyboards nikitokea huwezi sema haya
Basi tumeghairi.. Hatuendi tena.. Heri ya rafiki kuliko ndugu...
Ha ha ha Dreamliner hufai kabisa ndo nini sasa kutoa siri?? Unataka niachike mwenzio
Ile safari yetu ipo palepale...
Ninavyokupenda nikikuona tuu maneno na hasiza zote zinaisha
(pulizi mama Tuli asione hapa) :mwaaah:
Ile safari yetu ipo palepale...
Hataona nimeedit akiingia haoni kitu
We naona unatafuta sababu za kutofika kijijini Hungumalwa tena
Na nitawaambia nyumbani pale kuwa wewe na mimi si marafiki tena wala ile nyumba tunayojenga kwa ajili ya familia zetu siitaki tena
Ninavyokupenda nikikuona tuu maneno na hasiza zote zinaisha
(pulizi mama Tuli asione hapa) :mwaaah:
Duhhh!! Usikasirike.. Safari ndio tunaifikiria kuipanga lini twende... Mbona hv Bro... Watanitenga myumbani bana..
Afadhali kabisa
We achana na Dreamliner bana yule mchovu tuu hata mshiko hana
Na bwana mdogo yule hata mapenzi hajui
Nakwenda kumweleza yote Mama Tuli..
DA wala hataki Mshiko.. Wenyewe tmeshibana kama uji na mgonjwa..