Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
hahhahahivi couples za JF ni fixed au tunaruhusiwa kubadili??na akina cameroon wanaruhusiwa au hapana?:bump2:
Watu akianza taja ID za cameroon hapa hapata tosha:washing:
hahhahahivi couples za JF ni fixed au tunaruhusiwa kubadili??na akina cameroon wanaruhusiwa au hapana?:bump2:
Mama Tuli ni balaa anachunga mzigo wake na anakaba mpaka penalti
Ngoja si unajua njia zetu zile za kutoroka
Tunajipangia safari ya kwenda mwanza au serengeti mbugani huko tunasingizia kikao cha ofisini au mkutano wa chama
:fish2: tunaenda zetu ziwani
Mzee wa Hungumalwa mbona hv?
Hizo safari zanitisha na DA... Leo hii tuna safari ya Lindi kwenye kikao nae..
hivi couples za JF ni fixed au tunaruhusiwa kubadili??
na akina cameroon wanaruhusiwa au hapana?:bump2:
Nilifikiria wewe ni rafiki yangu kumbe unanizungukia kwenye mishe mishe zangu bana
bora na urafiki ufe tuu maana hauna maana
Kizuri kula na mwenzio, Walisemaga wainfii..... Urafiki uko palepale..
Halafu wewe PJ wewe.....lolHakyanani!
Ni kwamba jamaa anakuwa ameishiwa na mafao nini, ndo anatoswa live?
Hizo safari zanitisha na DA... Leo hii tuna safari ya Lindi kwenye kikao nae..
Wapi aise naona urafiki wa mashaka hapa
Sehemu ukishaingiza kinanihiii chako bana mimi naona soo kuingia tena hapo
Wapi aise naona urafiki wa mashaka hapa
Sehemu ukishaingiza kinanihiii chako bana mimi naona soo kuingia tena hapo
Mweeh kweli ni wewe umeandika hapa siamini
Ha ha ha Dreamliner hufai kabisa ndo nini sasa kutoa siri?? Unataka niachike mwenzio
Mweeh kweli ni wewe umeandika hapa siamini
Mimi bado..... Labda tukifika Lindi..... Lkn Urafiki uko palepale.... Kama ni hivyo ngoja nikuachie nirudi kwa zamani...
:lol::lol::lol:......Ngoja kwanza natafuta Plan B, Plan A ilifeliGhafla nini tena kiongozi?
Kama ni pole wakati ulipoachwa...sorry1!:lol::lol::lol:, wakati ulipougua, nilituma!
Kuna jipya tena?