Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Mamito...
heshima mkuu....
Mamito...
The Finest & Preta
Ngoja Jux aone hii! lolThe Finest & Preta
B bu but...but what...! lolthis is it....b bu but....!
Hommie wewe na Kaizer mnaingilia sana maslahi yangu sijui kwani aisee...lolNgoja Jux aone hii! lol
vidole viliteleza kwenye keybordKanusha kwanza hapo juu........
vidole viliteleza kwenye keybord
Wewe nae?
Unatukumbusha mambo ya enzi hizo...Akina WoS wakiwa active majukwaani!
Ha ha ha ha umegonga pentagoni
Humu ndani hamuwezani hata kidogo. Wote mnajua kutype![/QUOTE]
hii itakuwa na madhara eeh.....
Nakuona....
DA nimekumiss mbaya :lol:
Si umeamua kunizimmia simu toka ijumaa wewe poa tu lakini
hivi couples za JF ni fixed au tunaruhusiwa kubadili??
na akina cameroon wanaruhusiwa au hapana?:bump2:
Kuna mtu aliiba line yangu bana kw aweekend nzima nikakosa mawasiliano
Yaani leo asubuhi ndo kanirudishia
Mzima lakini dear 😛oa
Mzima kabisa dear sijui wewe.
:focus: Hivi Mama Tuli haonyeshi dalili ya kukuacha??