Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
he he hee du na atakua katuchora sana mpaka mda huu,ngoja nikalale FL1 kesho atatujulisha kama siku iliisha salama.
Habari kamanda,upo?,naona bado unasololea hapa...Vipi maendeleo lakini
he he hee du na atakua katuchora sana mpaka mda huu,ngoja nikalale FL1 kesho atatujulisha kama siku iliisha salama.
nipo bro naona unaingia mida mibaya busy nini?tulikua tunapigana vikumbo na mwkjj hapa,mzigo wenyewe hata haupo around anyway kesho naenda kwenye masebene mda huu.Habari kamanda,upo?,naona bado unasololea hapa...Vipi maendeleo lakini
nipo bro naona unaingia mida mibaya busy nini?tulikua tunapigana vikumbo na mwkjj hapa,mzigo wenyewe hata haupo around anyway kesho naenda kwenye masebene mda huu.
mhhhhh......
humu ndani nashindwa hata kwenda na
mabadiliko ya humu,sasa.
Unajua Cheusimangala kupitia hii sredi natamka wazi huwa unauumiza moyo wangu i realy love you mweh nihurumie mwana wa mwenzio naomba hifadhi ya moyo wangu kwako napiga hodi.
..MODs nashauri hii thread ihamishiwe kwenye jukwaa la utani!
My apologies..........
At least nimethibitisha hommie hujambo, ngoja nirudi zangu kaunta!mmh..hamjambo waungwana...wala naweza kupumua sasa....kusoma post 548 si nchezo
mmh..hamjambo waungwana...wala naweza kupumua sasa....kusoma post 548 si nchezo
Kilichobakia kwa FL1 :Bi mdogo huko Jf kuna nini?huyu babu Mwanakjj kakufukuzia kule mnaita Pm ?hapana mme wangu,inakuwaje mbona siwaelewi elewi?honey trust me,how can i trust u?jamani mh mbona wanitilia mashaka mie nimjuavyo mwanakijiji najua ni kibabu hakina memo ya kumung'unya mifupa siasa imekichosha'kwa hiyo umekipendea nn ?pesa siasa ,porojo zake au mashairi yamekuvutia na kukuingia moyoni ?, honey unafika mbali sana ,no utanambia vizuri hapa sikuelewi,na hakakengine eti bbaukijana?kigugumizi naona unakoelekea u must quit Jf m
At least nimethibitisha hommie hujambo, ngoja nirudi zangu kaunta!
Ulikuwa unafanyia wapi ze niidful? Moro au Usalule?
Hapa ndani iko kazi kama mmelisoma sakata la weekend hii hahahahaha🙂 niko Kisutu hapa mahakamani ...
tulienda kutafuta kuku dom bana?
kwani nani anamtania nani?
Binamu, welcom back, nini kujificha hivyo kwenye hayo majengo yanayojulikana na watu wengi au nguo zilikuwa zimelowekwa?????mmh..hamjambo waungwana...wala naweza kupumua sasa....kusoma post 548 si nchezo
mmh..hamjambo waungwana...wala naweza kupumua sasa....kusoma post 548 si nchezo
nyamayao wasnt me(tulienda muulize)