Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
nyie watu mnanitafuta vijineno
CK mimi nina mume tayari jana tena nikaongezewa 3 sasa huu si ufisadi wakati wengine hawana hata mmoja
hapo mi nimekosea wapi jamani??????
Mwaya haujakosea kitu chochote hapo,kwani kizuri si unakula na mwenzio.