bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
ulipenda nini Mantaleka....wenzio wapigwe ban au???I like this
ulipenda nini Mantaleka....wenzio wapigwe ban au???I like this
Ulishawahi fanya kazi Urafiki? kama siyo hayo maneno wakiyaona unaweza pata dili.
Chana nywele hata kama una kipara!
you can say that again biggy....Ulishawahi fanya kazi Urafiki? kama siyo hayo maneno wakiyaona unaweza pata dili.
Chana nywele hata kama una kipara!
Ngoja nimuudhi mamushka:ha ha ha......hapa ndio huwa nakunaniliu kaka yangu...pata coke I mean valuu kwa bili yangu
Ulishawahi fanya kazi Urafiki? kama siyo hayo maneno wakiyaona unaweza pata dili.
Chana nywele hata kama una kipara!
Bao moja mpira wa nini?Bia moja, Supu ya nini?
Ngoja nimuudhi mamushka:
Jino Moja Mswaki Wa Nini?
Bia moja, Supu ya nini?
Bia moja, Supu ya nini?
Kila navyoendelea kusoma hii post naona mabinamu mifuko imetoboka eeh?poleni weekend spesho
yani PJ unaweza toka asubuhi asubuhi unawahi Keni bar au Florida kuwahi supu huku jana yake uliweka nanihii aka Malta?Hivi kwani kunywa supu ni lazima uwe ulifakamia bia?
Mbona mi hata nikipiga MALTA ni lazima supu asubuhi😡
Sina fani, lakini mara nyingi napata fani nikiwa kwenye bapa la pili hivi.ohoo,kumbe ndo maana uliniunganisha kwenye hii fani mkuu,kumbe fani yako eeeh,lol
HAKYANANI, hawa leo wako bila-bila!
XPIN HERE-This tym?...huh!
Hivi leo tarehe ngapi mwenye jibu😕
Hebu do the needful basi nawe.Kila navyoendelea kusoma hii post naona mabinamu mifuko imetoboka eeh?poleni weekend spesho
Hehehe! This is name calling, You will be warned!HAKYANANI, hawa leo wako bila-bila!
XPIN HERE-This tym?...huh!
Hivi leo tarehe ngapi mwenye jibu😕
yani PJ unaweza toka asubuhi asubuhi unawahi Keni bar au Florida kuwahi supu huku jana yake uliweka nanihii aka Malta?
kama ulikamata malta, unatakiwa unywe uji wa ulezi kabisa asubuhi, ndo vinafanana