Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

weeeeeeeeee
Umeguna au umestuka?

yani PJ unaweza toka asubuhi asubuhi unawahi Keni bar au Florida kuwahi supu huku jana yake uliweka nanihii aka Malta?

kama ulikamata malta, unatakiwa unywe uji wa ulezi kabisa asubuhi, ndo vinafanana
Hebu kaangalie nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti!

Aaah umeme wa mgao kwa hiyo bia bado hazipata ubaridi wa kutosha! Tunavuta muda!
icon10.gif
Tell them pal? Hawajui kusoma katikati ya mistari hawa binadamu wenzetu. Kakague senksi kule.
 
mnyange sana
smart hadi upstairs
confident
anakulaga mbwa
anakunywa sana ulanzi
ukishangaa kukushika masiko utegemee sana....

I WILL B BACK FOR PART II


Hahahahha!....chica you made me laugh so loud!...you know me very well!.....you rock shosti.....
 
Alinimechisha na Mwanaume Maria Rosa, afute hiyo thread vinginevyo na mchalanga mapanga kama niko Musoma! Ebooo
 
Aaah umeme wa mgao kwa hiyo bia bado hazipata ubaridi wa kutosha! Tunavuta muda!
icon10.gif
Majibu ya Greti sinkas bana.........yana mantiki kweli kweli,
bia za moto bana..........bia bia mkuu, iwe ya moto, ya baridi, thelengeti, mlima....
we gida, kwani matokeo huwa yana ubaridi au joto?
 
binti maringo,mpole but maringo mengi ukitaka kumpata watafute wazee wa ngwasuma wakupe pamba na jinsi ya kutembea mikono na kifua kikiwa kimejaa bring bring sore kama nimemkwaza


hahahaahaPear Miye hata hizo ngoma za ngwasuma sizifahamu zinachezwa vipi!.....ila kwenye upole u have nailed it...i am very innocent
 
mabinamu mnapost mkiwa wapi?
Fidel80,Nguli,kaizer ,Geoff ,Birigita, Next Level ,cha wote bar
wengine????????
Wengine tunapostia kanisani au hujui leo siku gani?

Tufwate njiiiia yaaaa msalaaabaaa.
Tuifwateee mpaka kalvariooooo............
 
Aaah umeme wa mgao kwa hiyo bia bado hazipata ubaridi wa kutosha! Tunavuta muda!
icon10.gif

Hebu do the needful basi nawe.

Hehehe! This is name calling, You will be warned!

Majibu ya Greti sinkas bana.........yana mantiki kweli kweli,
bia za moto bana..........bia bia mkuu, iwe ya moto, ya baridi, thelengeti, mlima....
we gida, kwani matokeo huwa yana ubaridi au joto?

Wengine tunapostia kanisani au hujui leo siku gani?

Tufwate njiiiia yaaaa msalaaabaaa.
Tuifwateee mpaka kalvariooooo............

majibu ya kujipa faraja haya........
 
hahaaa chica umeiona hiyo eeeh!!!

I do hun.....haya sasa....


aaah Chica nimeiona....yaani no wonder you are my bff!.....check!!!!!!!!!!


I hope now Masaki atakuwa amesharidhika shosti na jibu....

haya me ngoja niende make a cup of tea and will be back chica sawa...keep representing....alafu leo i am craving for makande.
 
Wengine tunapostia kanisani au hujui leo siku gani?

Tufwate njiiiia yaaaa msalaaabaaa.
Tuifwateee mpaka kalvariooooo............
Mkuu, kupiga magoti kote kule unaweza kupost kweli!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom