Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,573
Pia kuna uwezekano ni watu wake pia!Kwa Zakari ilikuwa hivi hivi sema yeye aliwahi kujihami ndio maana ikajulikana!Vitu kama hivi sio vya kufurahia.
Habari kama hii huonesha kuna uwezekano wabaya wa Magufuli wamemteka Mo ili achafuliwe Magufuli na serikali yake.
Lengo aindolewe Magufuli waje waendelee kutafuna rasilimali za taifa letu.
Hata kama wapinzani hamtaki Magufuli basi kwa hili msiwape nafasi maadui wa taifa watatuletea machafuko ambayo tutaishia kuwa kama Sierra leon, Liberia, DRC, Central Africa, South Sudan, n.k.
Pia Naanza kupata mashaka juu ya kifo cha ndesamburoBillionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.
Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....
TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?
Mungu huwa habariki upumavu na ufalaufala!Kama ni kweli safi sana na Mungu ambariki Raisi wetu, mimi ningetaifisha kila kitu na kugawia watu wetu halafu ningepeleka mswada Bungeni kuliomba Bunge letu tukufu kupitisha sheria ya wote wasio weusi wawe ni raia daraja la pili baada ya sisi.
Sisi kwanza Wahindi na wengineo daraja la pili!
wacha wazilete ili tuzichanganye na zileee tutapata jibu tummeanza kuja na habari zenu za kufikirika.
ulitaka tuhusishe na nnWajinga nyinyi kila tukio mnahusisha siasa , fooo
Mungu ni cheo, kama ilivyo Rais ni cheo, swali ni je huyo Mungu unayemsema wewe ni yupi? Kuna Mungu anaitwa JEHOVAH, MOLECH, CHEMOSH, ASHTORETH etc.Mungu ni Mungu haihitaji maelezo!
Tatizo lako ni Elimu, Elimu, Elimu.mmeanza kuja na habari zenu za kufikirika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani siku hizi unakunywaga?
Kuna serikali ngapi? Serikali ndo mtekaji mkuu wa MO, hilo liko wazi na Dunia inajua,Idd Amin yumo ikulu ya Tanzania.Watekaji wameanza kuichafua serikali,
Mkuu siyo Bavicha hebu i trace hiyo link ni Habari ya siku nyingi mno,mleta mada kafanya kui copy tu.Wameshaanza kuongea kizungu cha ugoko.
Kwani MO ni wa kwanza kutekwa?Siamini kabisa kuwa Serikali yetu ya Awamu ya Tano inaweza kumdhuru mtu kama MO kwa kuwa ni mwekezaji mkubwa na serikali ndiko inakoelekea. Acheni kuleta chuki na fitina kwa articles ambazo ni za kishabiki na ki activists ili kuipaka serikali matope.
soma basi mbona unaogopa ?Sasa unanukuu hiyo makala ili iweje?
Mpumbavu kweli wewe,CHADEMA isiporudi bungeni ndo Magufuli wenu ataishi milele hatokufa? au CHADEMA ni adui wa Taifa inazuia maendeleo ya nchi?Na Chadema inawagharimu sana ndio 202o mbunge wa Chadema akirudi niite mbwa I officially declare official war with Chadema Since they have decided to war with CCM in all fronts I welcome them to the war zone in all fronts wether political , business etc and their supporters Chadema members and supporters be prepared .Vita haina macho mtatutambua
29/06/2018Hio habari ni ya lini?Jiulize kwanza hilo swali.
Hii ni akili ya mtu mweusi mwenye Roho nyeusi anaeamini Umaskini wake utaisha siku mwenye nacho akiishiwa Shame!Kama ni kweli safi sana na Mungu ambariki Raisi wetu, mimi ningetaifisha kila kitu na kugawia watu wetu halafu ningepeleka mswada Bungeni kuliomba Bunge letu tukufu kupitisha sheria ya wote wasio weusi wawe ni raia daraja la pili baada ya sisi.
Sisi kwanza Wahindi na wengineo daraja la pili!
Hii ni akili ya mtu mweusi mwenye Roho nyeusi anaeamini Umaskini wake utaisha siku mwenye nacho akiishiwa Shame!
Mungu ni cheo, kama ilivyo Rais ni cheo, swali ni je huyo Mungu unayemsema wewe ni yupi? Kuna Mungu anaitwa JEHOVAH, MOLECH, CHEMOSH, ASHTORETH etc.
Weka full article hapa....sio kusema tukalipie hukoBillionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.
Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....
TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?