Cosa nostra

Cosa nostra

Hua nazikubali sana nondo zako bro
You're inclidible lakini kitu kimoja hujawi kunitag hata siku moja japokua no diehard fan wako
 
Wakati nasoma Italia kuna jamaa nilimpa kitabu kinaeleza mambo ya utalii wa tanzania akisome.baada ya siku tatu ananiambia omar kumbe tanzania kuna kisiwa kinaitwa mafia wakati huku kwetu mafia ni kikundi cha uhalifu.mafia mkuu huko Sicilia sehemu za Palermo dahh pia Napoli.
 
Daaah we ni noma.... nineikubali hii makala.... daaah hatari.....

SASA NGOJA NIISOME NIJUE YALIYOMO.

kaka naomba uwe unanitag basi please
 
Back
Top Bottom