Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe

Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe

Corona is overrated, tangu iingie ina miezi minne ila waliokufa hawajafika hata laki moja out of 7b.
Kila mtu apambane kulingana na kamba yake inapoishia.
Kama kamba yako ni ndefu kiasi cha kuweza kujifungia ndani, jifungie. Waache wenye kamba fupi waendelee na maisha yao.
Na iko overrated sababu imepiga ikulu(kwa mataifa makubwa). Sipati picha ebola ingepiga ikulu ingrkuwaje hiyo documentation...
 
Vyovyote iwavyo ila kwa tanzania kuwekana ndani haiwezekani,kama unaona uwezo unao jiweke mwenyewe musilazimishe wote tukae ndani!watu wanabeba vibeseni vya matunda kutembeza barabarani unadhani wanaakiba hata yakesho? Kenya wanazuiwa watu kutoka wasipate corona polisi wanawapiga risasi,haya unazuia nini na unafanya nini? Kama unaweza kukaa ndani kaa usilazimishe tufanane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha utani kwa afya za watu,naomba mungu upigwe na corona ili ukae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wote waliopata hiyo corona wameumwa wengine wamepata hiyo corona na hawajaonesha dalili yoyote mpaka wamepona ni ugojwa wa kawaida ila kinacho watesa watu ni hofu ya kikasumba kama yako unaamini mtu akipata ni serious sana lakini uhalisia sio kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja za kutetea lockdown ni chache na dhaifu km hoja za kuitetea ccm ibaki madarakani...
Wengi wao wanaishia vitisho na wanakua wakali ukiwabana kwa hoja.

Yaani unaona kbsa hana nguvu ya kutetea na kusimamia ila tu hana jinsi sbb hawezi kula matapish yake..
 
Acha kuchanganya dhahania na sayansi,uliza Italia mapadri wangapi wamedied

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani mapadri miaka yote hawafagi? unaweza kutuambia kwa mwaka mapadri hufa wangapi? je unajua hao mapadri walio kufa walikuwq na umri gani? je unajua hao mapadri walikuwa na historia gani ya magojwa mengine? fahamu kuwa kifo kina sababu nyingi na watu hawajanza kufa leo ila kama hufuatilii takwimu unaweza kujenga hofu kwa kuto kujua yaliyo tokea nyuma kutokana na kuamini yaliyopo ambayo yana pewa kipaumbele na vyombo vya habari na hivyo wajinga wengi wanasahau ya mwaka jana ambayo nihatari kuliko yaleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Acha kuhamasisha lockdow. Madhara ni makubwa sana.. Acha kufikiria inbox extend you mind panua akiri. Lockdown haiwezeka. Kwasababu. Mchumi mdogo. Lakn sababu kubwa ni joto kali eg dar 30
temperature.huwez kufungia watu wafe na joto.hakuna nchi ulaya yenye joto imefungia watu wafe kwa joto
 
Bila lockdown,jamani tuhurumiane,maambukizi yanaweza kuwa kwa binadamu na wananyama,mi nawaza hakuna mbinu mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
mambukizi yatakuwepo na maisha yata endelea kama kawaida na ndio dunia ilivyo bila ivyo dunia ingekua haitoshi hiyo ni balance of nature kuna magojwa mengi sana nawatu wanakufa kila siku na wengine wanazaliwa kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona inaua bila kujali kuna lock down au hamna, namna pekee ya kuzuia corona ni mikono kuacha urafiki na macho pua na mdomo.
 
Hata mimi nawaza kweli hali itakavyokua. Mbele kuna giza panatisha. Watu wanachukulia mzaha sana hili swala lakini lina athari kubwa sana.
hali itakuwa shwari tuu ila lockdown italeta madhara makubwa kuliko ugojwa wenyewe yan madhara ya lock down ni kilo 50 alafu madhara ya corona kiafya ni kilo 3 sasa kipi rahisi kukibeba hapo ukiachilia mbali taarifa mbaya zinazo bebwa na vyombo vikuu vya habari rudi kwenye uhalisia hapa tz ktk sample ya watu 20 walio ugua 12 hawaja onesha dalili kwa zaidi ya siku 2 7 wameonesha dalili kwa siku sisizo zidi 4 1 alikuwa mahututi lakini pia alikuwa na magojwa mengine na ndio alie poteza maisha sasa kwa nn uogope corona kuliko magojwa mengine mpaka ujifungie ndani ili ufe njaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaleta mchezo.
Yaani uwe baba wa familia alafu kutoka kwako ndo kupata hela ya matumizi..
Utalilia kweli hayo mambo?.
Hapo una watoto nyumbani..
TUMUOMBE MUNGU TUSIFIKE HUKO.
Ni mateso ZAIDI YA CORONA YENYEWE.
Pata picha pale kariakoo pafungwe na maduka na magenge yafungwe kila mtu ndani.
tutapona kweli?.
Yani hiyo total lockdown mnavyoing'ang'ania [emoji57][emoji57]...utadhani inakuja na zawadi.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Bàadae mambo yamepamba moto ndio hawa hawa watailaumu serikali kwa kupuuzia lockdown. Kuna alarm nyingi za kutushtua hali sio nzuri watu wanajifanya hawaoni.
acha yapambe moto mana kujifungia pia nizaidi ya ugojwa tusijiangalie sie wenye uwezo tuu tuangalie watanzania wote ni wangapi wataweza kukaa siku 14 ndani bila kutafta chakula na wanafamilia na watoto wachanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila lockdown tutaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
huo ni mkwara tuu tungekuwa tumesha isha mbona toka corona imefika hapa tz lazima ujiulize mbona bado tupo hai hadi leo kuwazidi hao walio endelea? anzia hapo kudadisi ndugu yangu pengine ufahamu wako utafunguka na kujua pia kuna kitu cha ziada kinacho tulinda ambacho kinapuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom