mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,296
- 44,876
Sijawahi kukubali kuwa barakoa itanilinda na Corona.
Hizo NI hadithi
Hizo NI hadithi
Kwamba unamkubali Dr. Gwajima 100% hiyo ni hatua njema sana.
Sasa hivi anakubali kuchukua hatua stahiki. Busara inaanza kutamalaki. Mungu atupe nini zaidi?
Mdogo mdogo tutafika tu.