#COVID19 Corona: Hatimaye Rais Museveni asalimu amri, apinga ufanisi wa curfew za usiku, aungana na Magufuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Ikumbukwe hapa kuwa ni Rais Magufuli pekee barani Afrika aliyekataa kuwafungia wananchi ndani yaani lockdown licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Chadema na ACT wazalendo.

Rais Museveni wa Uganda amesema uamuzi wa kuwafungia wananchi ndani ni kuwatesa na kuuwa uchumi wa nchi.
Museveni amesema kwa sasa anajitafakari upya ili aweze kuondoa zuio la wananchi kutembea usiku.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ikumbukwe hapa kuwa ni Rais Magufuli pekee barani Afrika aliyekataa kuwafungia wananchi ndani yaani lockdown licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Chadema na ACT wazalendo.

Rais Museveni wa Uganda amesema uamuzi wa kuwafungia wananchi ndani ni kuwatesa na kuuwa uchumi wa nchi.
Museveni amesema kwa sasa anajitafakari upya ili aweze kuondoa zuio la wananchi kutembea usiku.

Maendeleo hayana vyama!
Shenzi typ
 
Ikumbukwe hapa kuwa ni Rais Magufuli pekee barani Afrika aliyekataa kuwafungia wananchi ndani yaani lockdown licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Chadema na ACT wazalendo.

Rais Museveni wa Uganda amesema uamuzi wa kuwafungia wananchi ndani ni kuwatesa na kuuwa uchumi wa nchi.
Museveni amesema kwa sasa anajitafakari upya ili aweze kuondoa zuio la wananchi kutembea usiku.

Maendeleo hayana vyama!
Lakini takwimu za corona ziko wapi?
 
Ikumbukwe hapa kuwa ni Rais Magufuli pekee barani Afrika aliyekataa kuwafungia wananchi ndani yaani lockdown licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Chadema na ACT wazalendo.

Rais Museveni wa Uganda amesema uamuzi wa kuwafungia wananchi ndani ni kuwatesa na kuuwa uchumi wa nchi.
Museveni amesema kwa sasa anajitafakari upya ili aweze kuondoa zuio la wananchi kutembea usiku.

Maendeleo hayana vyama!
Ikumbukwe kuwa Tanzania ndiyo nchi pekee iliyopoteza watu wengi kwa vifo kwa corona ambavyo vingeweza kuzuilika.
 
MY TAKE;" Coalition of the willings" iliyoindwa kupambana na maambukizi ya Corona yaanza kusambaratika.

=======

Tanzanians have once again praised their top leader, John Pombe Magufuli over the decisions he took when the COVID-19 pandemic was wreaking havoc in the region.

They are showering Dr. Magufuli with praises after President Yoweri Museveni hinted lifting partial lockdown and curfews to get Uganda's economy on the right path.

According to what Tanzanians are saying on social media, Dr. Magufuli's decision of not locking down Tanzania is paying off, with almost her neighbours now thinking of doing the same thing.

Tanzanians are saying other nations are pulling out a similar move in their countries after seeing Tanzania succeed by doing so.

On Monday during his 16th state address over COVID-19, Museveni said Uganda won't be on lockdown forever over the deadly virus.

He said the lockdown is negatively affecting the economy.

"However, as I told you when I last addressed the country on the 1st of June, 2020, these lockdowns cannot and should not be in force forever. They affect sections of the economy," read Museveni's written state address speech in part.

Museveni noted that he was also wondering why they had decided to ban people from operating at night over COVID-19, and yet allowed taxi drivers to do so.

d628376f57ce07956b002752e5924076

He further warned Ugandans that the country was heading to a more dangerous phase where new infections are emerging within the people.

Unlike before where foreign truck drivers were said to be the main source of infection in Uganda, Museveni noted it is now emerging from within the country, with most cases turning out to be hard to trace their source.

Raila Odinga popping up on this debate

fe22b02d4068b09403107e8856c3b173


Other Tanzanians have named Kenya's Opposition Leader Raila Odinga to be among the top three of East African leaders who like resisting and opposing much.

They listed Museveni at number one and Tanzania's Opposition Leader, Mr. Mbower at number three.

Here are top comments, showing how Magufuli is getting praises.

04ed0ad10638e7994a69c3ab7ad53ba3

0321ac7c2e106d94cee50a1d030d8944

View pictures in App save up to 80% data.
41f8d965974b483a0b0fd104589f4900
 
Ikumbukwe kuwa Tanzania ndiyo nchi pekee iliyopoteza watu wengi kwa vifo kwa corona ambavyo vingeweza kuzuilika.
Hivi Huo Ugonjwa Unaua Mjini Tu? Mbona Wengi Tulioko Vijijini Tupo Salama!! Ni Vema Tukaletewa Uthibitisho Ili Tuamini
 
Alafu na kile kikao chao cha kwenye corido kimeleta imapct gani?

Wakuu ukiachana na mambo ya maendeleo, kingine alichonifunza Magufuli ni mwanaume kuwa na msimamo.
 
Back
Top Bottom