Mama anatafuta hela za msaada kwa mgongo wa korona. Kashindwa kukusanya Kodi.
Ndiyo maana Mdude kaahidi kumnyoa huyu mama kwa wembe.
View attachment 1838536
Corona Tz inayotangazwa kwenye Vyombo vya habari na mambo yalivyo mtaani ni kama K-vant na Pilau...
Too late. Wasianze kutisha raia
Acha wahudumie wateja jamani. Mbona nauli imepanda na wateja wanalipa...Kuanzia Jumatatu bila kuvaa barakoa stendi Magufuli hakuingiliki tena.
Hata hivyo inashangaza kwanini kuwataka wenye mabasi kuwa na sanitizers kwa ajili ya abiria.
Kama ilivyo kwa barakoa, afya ya mtu ni wajibu wake mwenyewe. Hizi za kutwishana majukumu ya wengine ndiyo chanzo cha kupalilia jamii isiyokuwa na uwajibikaji kwenye mambo yake yenyewe.
Hatua zaidi kudhihibiti misongamano isiyo kuwa na tahadhari itapendeza zaidi.
Chanzo: ITV Habari.
Mkuu ukweli mchungu ni kwamba wengi zaidi bado wanamuenzi, kama upo Tanzania jiulize maswali haya:
Serikali ya sasa inachofanya ni kuiaminisha dunia kwamba tupo serious kwenye haya mapambano ili tupate mikopo na tusitengwe ila kiuhalisia ni kama tunaendelea vile vile, wananchi ndio kabisa wanaenzi yale yale ya mwendazake, sana sana utakuta raia wa kigeni ama wale wenye kipato cha kati na kwenda juu ndio wanavaa barakoa na kujitahidi kunawa mikono na kufuata ushauri mwingine wa wataalam wakiwa kwenye shopping malls ama migahawa mikubwa.
- Hapo mtaani kwenu ni watu wangapi wanavaa barakoa ?
- Hapo mtaani ni watu wangapi wanapeana social distance ?
- Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri ni watu wangapi wanavaa barakoa ? Hayo mabasi yana social distance au yamejaza nyomi kama kawaida.
- Kwenye viwanja vya mpira kuna social distancing ?
- Mara ya mwisho kusikia kampeni ya kuelimisha watu kuhusu corona umeisikia mtaani kwenu lini ?
- Watoto wa shule wanapewa elimu ya kujikinga na ugonjwa huu ?
- Watu wakienda bar na club wanachukua tahadhari zozote ?
- Katika rafiki au ndugu zako 10 ni wangapi wapo tayari kupokea chanjo ya corona ?
- Lini serikali imetoa takwimu rasmi zinazoeleweka kuhusu maambukizi ya ugonjwa huu , zaidi ya kusomewa tu taarifa haraka haraka ambazo tuliambiwa tuna wagonjwa 100, wapo mkoa gani hatujui ? Taarifa mbona hazijafika WHO ?
Sikubaliani na msimamo aliouchukua Magufuli dhidi ya corona lakini huenda ndio msimamo uliokubalika na wananchi wengi zaidi, watanzania wengi tunapenda shortcut !
Acha wahudumie wateja jamani. Mbona nauli imepanda na wateja wanalipa...
Unajua kenge huwa hasikii mpaka aone damu ikimtoka masikioni...kinga siku zote ni bora, kuliko tiba.... kaaazi iendelee.Tuvae barakoa....watanzania wajinga wengi sana ....tunaidharau sana corona
Sasa ulinde wengine ki vp wakati kila mtu mwenyewe ndio anatakiwa kujilinda, sasa unataka mtu mwengine avae barakoa ili akulinde wewe? Hata kwenye ukimwi ni wewe ndio unatakiwa uzingatie condom na si kutegemea mwengine.TUVAE BARAKOA ILI KULINDA WENGINE. KAMA WEWE HUAMINI CORONA IPO JARIBU KUWAHESHIMU NA KUWALINDA WANAOAMINI KUWA IPO.
Kwa Tanzania watu waliaminishwa kuwa Corona haipo. Kuvaa barakoa wanaona kama adhabu ndio maana nawaambia kama wewe huamini Corona ipo vaa kuwalinda wengine.Sasa ulinde wengine ki vp wakati kila mtu mwenyewe ndio anatakiwa kujilinda, sasa unataka mtu mwengine avae barakoa ili akulinde wewe? Hata kwenye ukimwi ni wewe ndio unatakiwa uzingatie condom na si kutegemea mwengine.
Unadhani inasaidia katika nini hilo jambo? mfano na huku mkoani kwangu kwamba ukitaka kwenda stendi ya Magufuli au Muhimbili ndio nibebe barakoa ili tu niweze kuruhusiwa kuingia ndani ila leo nikienda kusngalia simba na yanga sina haja ya kubeba barakoa, sasa hapo tunafanya nini?Huko mkoani kwetu bila barakoa dukani haupewi hata chumvi
Na utalii utazidi kudodaBiashara inayotangazwa sana ina nafasi kubwa sana ya kufanya vzr sokoni hii promo inayopewa Corona soon itaanza kufanya vzr sokoni
Watu hawajaaminishwa bali wamepewa uhuru, huo uvaaji wa barakoa ulikuwa kwa kiasi gani serikali inasema corona ipo? watu walikuwa wanajificha kwenye daladala wasionekane na traffic kipindi kile cha level seat ndio hao unasema wameaminishwa hakuna corona?Kwa Tanzania watu waliaminishwa kuwa Corona haipo. Kuvaa barakoa wanaona kama adhabu ndio maana nawaambia kama wewe huamini Corona ipo vaa kuwalinda wengine.
Mkuu kwani ukivaa barakoa utapungukiwa nini? Unataka wafe wangapi ndio muanze kuvaa barakoa?Mkuu ukweli mchungu ni kwamba wengi zaidi bado wanamuenzi, kama upo Tanzania jiulize maswali haya:
Serikali ya sasa inachofanya ni kuiaminisha dunia kwamba tupo serious kwenye haya mapambano ili tupate mikopo na tusitengwe ila kiuhalisia ni kama tunaendelea vile vile, wananchi ndio kabisa wanaenzi yale yale ya mwendazake, sana sana utakuta raia wa kigeni ama wale wenye kipato cha kati na kwenda juu ndio wanavaa barakoa na kujitahidi kunawa mikono na kufuata ushauri mwingine wa wataalam wakiwa kwenye shopping malls ama migahawa mikubwa.
- Hapo mtaani kwenu ni watu wangapi wanavaa barakoa ?
- Hapo mtaani ni watu wangapi wanapeana social distance ?
- Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri ni watu wangapi wanavaa barakoa ? Hayo mabasi yana social distance au yamejaza nyomi kama kawaida.
- Kwenye viwanja vya mpira kuna social distancing ?
- Mara ya mwisho kusikia kampeni ya kuelimisha watu kuhusu corona umeisikia mtaani kwenu lini ?
- Watoto wa shule wanapewa elimu ya kujikinga na ugonjwa huu ?
- Watu wakienda bar na club wanachukua tahadhari zozote ?
- Katika rafiki au ndugu zako 10 ni wangapi wapo tayari kupokea chanjo ya corona ?
- Lini serikali imetoa takwimu rasmi zinazoeleweka kuhusu maambukizi ya ugonjwa huu , zaidi ya kusomewa tu taarifa haraka haraka ambazo tuliambiwa tuna wagonjwa 100, wapo mkoa gani hatujui ? Taarifa mbona hazijafika WHO ?
Sikubaliani na msimamo aliouchukua Magufuli dhidi ya corona lakini huenda ndio msimamo uliokubalika na wananchi wengi zaidi, watanzania wengi tunapenda shortcut !