Vipi kuhusu wasafiri wa mabasi nΓ‘ treni waendao mikoani Mkuu!? Hawa hawatakiwi kuvaa barakoa?
Dah Hesabu ishashuka tena kwa mata nyingine tena... Daladala tunateseka sana tumetoka mwezi wa ukaguzi wa ajabu ajabu wametupotezea sana muda na hesabu sasa tunaingia kwenye level seat... sijui niyapaki tu.. Gari kubwa leval seat kutoka kawe hadi mbagala italipaje yaani hesabu unaipataje kwa mfano Mafuta bei vipuri bei nauli ile ile miaka yote ? ndio maana mzee mpili alisema kha!
Hesabu ya gari Kwa siku n Shi ngapi?Dah Hesabu ishashuka tena kwa mata nyingine tena... Daladala tunateseka sana tumetoka mwezi wa ukaguzi wa ajabu ajabu wametupotezea sana muda na hesabu sasa tunaingia kwenye level seat... sijui niyapaki tu.. Gari kubwa leval seat kutoka kawe hadi mbagala italipaje yaani hesabu unaipataje kwa mfano Mafuta bei vipuri bei nauli ile ile miaka yote ? ndio maana mzee mpili alisema kha!
Waweke tozo (fine) kwa wale wanaopatikana kutokuvaa barakoa. Itasaidia kuongeza kipato kwa Serikali
Vipi meko bado anakula moto na iblisiVipi Gaidi ameshakutana na Manyampala tayari huko Segerea mkuu?
ndo nini sasa?
Haaa mbona mimi nimepanda hata, 0fisini nimetinga bila BarakoaTaratibu tunasonga na uelekeo huu si mbaya.
View attachment 1869387
Bila barakoa tusionane kwenye usafiri wa umma yaani mabasi zikiwamo dala dala na ferry. Tusionane pia sokoni wala popote penye mikusanyiko.
Hili si ombi bali rasmi ni lazima.
-----
My take:
Ugonjwa huu ni hatari. Hatua hizi ni muafaka pole pole tutaelewana tu.
Wewe umepanda na kutinga ofisini bila barakoa, kesho ππππ?Haaa mbona mimi nimepanda hata, 0fisini nimetinga bila Barakoa