Taratibu tunasonga na uelekeo huu si mbaya.
Bila barakoa tusionane kwenye usafiri wa umma yaani mabasi zikiwamo dala dala na ferry. Tusionane pia sokoni wala popote penye mikusanyiko.
Hili si ombi bali rasmi ni lazima.
-----
My take:
Ugonjwa huu ni hatari. Hatua hizi ni muafaka pole pole tutaelewana tu.
Bila barakoa tusionane kwenye usafiri wa umma yaani mabasi zikiwamo dala dala na ferry. Tusionane pia sokoni wala popote penye mikusanyiko.
Hili si ombi bali rasmi ni lazima.
-----
My take:
Ugonjwa huu ni hatari. Hatua hizi ni muafaka pole pole tutaelewana tu.